Mei 31, 2012
Uendeshaji wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki (EAC) inajitayarisha kutuma timu ya Waangalizi ili kusimamia Uchaguzi Mkuu wa Kenya mapema mwaka 2013, mkuu wa EAC alisema siku ya Jumatano (tarehe 30 Mei).
“Tumealikwa na tume ya uchaguzi ya Kenya na kuchukua dhamana ya kuhakikisha kuwa waangalizi wanatumwa mapema kabla ya uchaguzi huo ili waweze kusimamia upigaji kura katika matayarisho ya mapema na kutoa ushauri unaofaa,” alisema Katibu Mkuu wa EAC Richard Sezibera wa Kongamano Dogo la VII juu ya Uongozi Bora Afrika mjini Arusha, kwa mujibu wa gazeti la Daily News la Tanzania.
Sezibera alisema kuwa nchi wanachama wa EAC zimekuwa zikisimamia vibaya uchaguzi wake wakuu, ambapo EAC inakusudia kufanya mabadiliko. Alisema kuwa viongozi wamekuwa wakijifanya wako juu ya sheria, na EAC inafanyakazi kuziba mapungufu hayo, kuzuia ufanyaji hila katika uchaguzi.
Nchi washiriki wa EAC ni pamoja na Kenya, Uganda, Rwanda, Tanzania na Burundi.
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji