Mei 29, 2012
Vikosi vya Serikali ya Mpito ya Shirikisho na askari wa Umoja wa Afrika waliwakamata takriban watu 400 wanaotuhumiwa kuwa na uhusiano na al-Shabaab huko Afgoye siku ya Jumatatu (tarehe 28 Mei), Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti.
Ukamatwaji huo ulitokea wakati usafisha wa usalama wa mji wa Afgoye, ambao ulikombolewa kutoka kwa al-Shabaab wiki iliyopita. Operesheni hiyo iliongozwa na Jenerali Abdikhadir Sheikh Ali Dini, mkuu wa jeshi wa Somalia, na mkuu wa kikosi cha polisi cha Somalia, Sharif Sheikhuna Maye, kama sehemu ya juhudi za vikosi vya washirika za kuufanya mji uwe na salama, maafisa walikiambia kituo cha redio.
Maye aliwataka wakazi wa Afgoye kufanyakazi pamoja na vikosi vya usalama kufuata sharia na kanuni. Alisema polisi wa Somalia wanaelewa kuwa washirika wa al-Shabaab wapo katika ushoroba wa Afgoye na kuwataka watu kuwaarifu viongozi kwa tukio lolote linalotia shaka.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji