Mei 25, 2012
Meya wa Mogadishu Mohamud Ahmed Nur alizindua siku ya Alhamisi (tarehe 24 Mei) programu ya kuponya kihoro na makubaliano ya kijamii ili kusaidia makubaliano na mshikamano wa kijamii, Redio RBC ya Somalia iliripoti.
Awamu ya kwanza ya programu itakuwa ni mafunzo ya wakufunzi 32 wa kuponya kihoro, ambao wataendelea kuwafundisha watu wengine 800 katika Mkoa wa Benadir.
Meya huyo alisisitiza umuhimu wa kuhimiza uponyaji wa kihoro na makubaliano ya kijamii, ambayo alisema yatasaidia kuleta amani na utulivu huko Mogadishu.
Programu ya makubaliano ya kijamii na uponyaji wa kihoro ni sehemu ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID), Programu ya Jitihada za Mpito kwa ajili ya Utulivu.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji