Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Mei 24, 2012
Karibuni Kenya itaanza kufunga kamera zilizounganishwa na televisheni (CCTV) mjini Nairobi ili kuwasaidia polisi na kuimarisha usalama, Waziri Mkuu Raila Odinga aliliambia bunge hapo Jumatano (tarehe 23 Mei).
“Kufungwa kwa CCTV kutasaidia polisi katika kazi yao ya ulinzi kwa sababu wataweza kuwabaini wahalifu wakati wakitembea kujaribu kufanya uhalifu au baada ya kwisha kuufanya wanaweza kukamatwa haraka,” Odinga alisema, kwa mujibu wa Redio Capital FM News ya Kenya.
Mpango wa CCTV baadaye utapanuliwa na kupelekwa kwanza Mombasa, Kisumu, Eldoret, Nakuru na Meru, alisema. Serikali ya China imetoa shilingi bilioni 8.5 (dola milioni 100) ili kugharamia mradi huo, na Kenya imetenga shilingi bilioni 1.7 za ziada (dola milioni 20) za mchango.
Msaidizi Waziri wa Tawala za Mikoa na Usalama wa Ndani, Joshua Orwa Ojode mapema mwezi huu aliliambia bunge kuwa serikali itawekeza katika kamera zilizounganishwa na televisheni ili kuimarisha usalama wa nchi kufuatia mashambulizi mawili ya karibuni ambapo watu wawili waliuawa na saba kujeruhiwa.
Polisi nchini Tanzania wamewakamata watu 90 siku moja baada ya maandamano ambapo mtu mmoja aliuaw...
Kenya ililiomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) kufutwa kw...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia aliongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa ...
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Shirika la Maendeleo la Pembe ya Afrika (IGAD) w...
Kiongozi wa jamii huko Zanzibar, Mohammad Omar Said, alishambuliwa kwa tindikali siku ya Alhamisi...
Mahakama moja ya Puntland imewahukumu kifo watu saba kwa mauaji ya ulamaa wa Kisomali, Abdulkadir...
Shirika la kimataifa la misaada la Global Partnership for Education (GPE) limetangaza msaada wa d...
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa Kenya...
Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto ameahidi adhabu kali zaidi kwa majangili katika mswada wa Sh...
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Msaidizi Waziri wa Tawala za Mikoa na Usalama wa Ndani si Josua Orwa Ojode