Mei 22, 2012
Rais wa Somalia na waziri mkuu walihutubia mkutano wa Mpango huko Addis Ababa mnamo Jumatatu (tarehe 21 Mei), wakisisitiza umuhimu wa kusaidia mpango wa mpito na maendeleo yake. Mtandao wa habari wa Garowe Online ya Somalia iliripoti.
Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alibainisha mafanikio ya usalama katika kupambana na al-Shabaab. Waziri Mkuu Abdiwel Mohamed Ali alisema kuwa licha ya vizuizi katika kuchagua wajumbe wa baraza hili, mchakato utaendelea ili Serikali ya Mpito ya Shirikisho ifikie mwisho mwezi Agosti.
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa Somalia Augustine Mahiga alikuwa mwenyekiti wa mkutano huu na kutoa wito kwa wanasiasa, dola na watia saini kufuata mkataba uliosainiwa huko Garowe, Galkayo na Mogadishu. Pia alitoa wito kwa viongozi wa Somalia kudumisha uadilifu katika mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Katiba, ambalo litahakiki katiba mpya iliyopendekezwa.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji