Viongozi wa Somalia wafungua mkutano wa Mpango Mkuu

Mei 22, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Rais wa Somalia na waziri mkuu walihutubia mkutano wa Mpango huko Addis Ababa mnamo Jumatatu (tarehe 21 Mei), wakisisitiza umuhimu wa kusaidia mpango wa mpito na maendeleo yake. Mtandao wa habari wa Garowe Online ya Somalia iliripoti.

Rais Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alibainisha mafanikio ya usalama katika kupambana na al-Shabaab. Waziri Mkuu Abdiwel Mohamed Ali alisema kuwa licha ya vizuizi katika kuchagua wajumbe wa baraza hili, mchakato utaendelea ili Serikali ya Mpito ya Shirikisho ifikie mwisho mwezi Agosti.

Mjumbe wa Umoja wa Mataifa kwa Somalia Augustine Mahiga alikuwa mwenyekiti wa mkutano huu na kutoa wito kwa wanasiasa, dola na watia saini kufuata mkataba uliosainiwa huko Garowe, Galkayo na Mogadishu. Pia alitoa wito kwa viongozi wa Somalia kudumisha uadilifu katika mchakato wa uchaguzi wa Bunge la Katiba, ambalo litahakiki katiba mpya iliyopendekezwa.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 1)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo