Mei 20, 2012
Wajumbe kutoka nchi 18, zikiwemo Kenya na Tanzania, walihudhuria katika uzinduzi wa ofisi mpya katika makao makuu ya Indian Ocean Rim Association for Regional Co-operation ya Morisi, gazeti la Tanzania la Daily News liliripoti hapo Jumapili (tarehe 20 Mei).
Wajumbe walijadili mada sita za kipaumbele za jumuiya hiyo – usalama baharini, biashara na uwekezaji, sekta ya uvuvi, usimamizi wa majanga, utalii na kukuza uwezo.
“Mazingira ya sasa ya usalama baharini katika baadhi ya sehemu za Bahari ya Hindi bado ni dhaifu,” akisema Sudhir Vyas, katibu wa mahusiano ya kiuchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya India, ambaye aliongoza kamati ya maafisa wakuu. “Idadi inayoongezeka ya kesi za uharamia na wizi wa kutumia silaha katika baharí vinatishia usafirishaji na biashara.”
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji