Mei 14, 2012
Ofisa mwandamizi wa Benadir alisema Jumapili (tarehe 13 Mei) kuwa serikali itawachukulia hatua kali wahalifu wanaovalia kama askari wa serikali ya Somalia, Shirika la Habari la Taifa la Somalia liliripoti.
Vikosi vya usalama vitapigana na wahalifu wanavalia kama askari ambao wanaua na kuwaibia raia huko Mogadiashu, Makamu wa mwenyekiti wa Benedir aliwambia waandishi wa habari. Alisifu vikosi vya taifa la Somalia kwa kuboresha usalama katika mji mkuu huo.
Katika habari nyingine, Waziri wa Usalama Hussein Arab Isse aliiambia Redio Mogadishu kuwa vikosi vya usalama vya Taifa ambavyo vinapata mafunzo huko Uganda vitarudishwa Mogadishu wiki ijayo kushiriki katika operesheni ya usalama inayoendelea dhidi ya al-Shabaab.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji