Mei 14, 2012
Idara ya Usalama wa Taifa la Somalia (NSS) limemkamata mshukiwa wa al-Shabaab kutokana na kumiliki milipuko katika wilaya ya Hodon ya Mogadishu, Mtandao wa Habari wa Garowe Online wa Somalia uliripoti Jumatatu (tarehe 14 Mei).
Kijana wa kiume alipewa milipuko kuitegesha kwenye gari la ofisa wa ndani katika wilaya ya Hilawa, alisema Mkurugenzi wa NSS Ahmed Mo’allim Fiqi.
“Aina hizi za milipuko zilikusudiwa kutegeshwa kwenye magari,” Fiqi alisema. “Mkosaji huyo alipanga kutegesha chombo hiki kwenye gari la ofisa wa serikali, mbinu mpya ambayo al-Shabaab wanaitumia kufanya vitendo vya kutisha dhidi ya watu wa Mogadishu.”
Mshambuliaji itawezekana kuwa alitokea katika eneo la mkoa wa Lower Shabelle unaothibitiwa na kikundi cha washirika wa al-Qaeda, al-Shabaab.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji