Mei 13, 2012
Afisa mwandamizi wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuendelea kuwasaidia watu wa Somalia kwa kujenga utoaji wenye ufanisi wa misaada ambao ulisaida sana katika njaa ya mwaka jana na kuelekeza katika kusaidia upatikanaji wa riziki.
“Hali ya njaa haiko tena Somalia, kwa kiwango kikubwa kutokana na utoaji misaada kwa ufanisi na mavuno mazuri katika mwanzo wa mwaka, lakini hali ya kibinadamu inaendelea kuwa ngumu,” Msaidi Katibu Mkuu kwa Masuala ya Ubinadamu Catherine Bragg alisema hapo Jumamosi (tarehe 12 Mei) baada ya ziara ya siku tano katika Somalia na Kenya.
Idadi ya watu wanaohitaji chakula imepungua kwa milioni 1.5, lakini bado watu milioni 2.5 wako “katika shida”, Bragg alisema.
Bragg, ambaye pia ni Makamo Mratibu wa Umoja wa Mataifa wa Misaada ya Dharura, alisema Umoja wa Mataifa ulikuwa unashirikiana na watendaji wengine muhimu, ikiwa ni pamoja na Uturuki na Mkutano wa Jumuiya ya Kiislamu, katika kutoa misaada nchini Somalia.
“Wafanyakazi wa misaada wenyeji na wa kimataifa wanaoshirikiana na Somalia wamethibitisha kuwa wanaweza kufanya mambo kuwa tofauti,” alisema.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji