Mei 13, 2012
Jeshi la Polisi la Kenya lilisambaza hapo Jumamosi (tarehe 12 Mei) picha ya Mjerumani mwanaume anayeaminiwa kuwa ameingia Kenya isivyo halali na anashutumiwa kuwa na mahusiano na al-Shabaab.
Msemaji wa polisi Eric Kiraithe kuwa Ahmed Khaled Mueller anatakiwa kwa kuhojiwa juu ya vitendo vya uhalifu vinavyohusiana na wanamgambo wa al-Shabaab, wenye uhusiano na al-Qaeda.
"Ahmed Khaled Mueller kwa hivyo anatakiwa kufikia kituo chochote cha polisi kilicho karibu naye ambako atakabidhiwa kwa Kitengo cha Kupambana Ugaidi," Kiraithe alisema, na kuongeza kuwa mtuhumiwa huyo pia natumia majina ya Andreas Martin Muller na Abu Nusaibah.
Polisi walisema mtuhumiwa anaweza kuwa ana silaha, na kumtaka mtu yeyote mwenye habari yuko wapi kuzipeleka habari hizo kwa viongozi
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji