Mei 10, 2012
Siku ya Jumanne (tarehe 8 Mei), baraza la mawaziri la Djibouti liliidhinisha mswaada wa sharia wa kuanzisha chuo cha polisi kitakachotoa mafunzo “katika kiwango cha juu”, liliripoti gazeti la nchi hiyo la La Nation hapo Jumatano.
Mswaada huo wa sharia uliwasilishwa kwenye mkutano wa baraza la mawaziri na waziri wa mambo ya ndani, Hassan Darar Houffaneh, na kukubaliwa moja kwa moja.
Chuo hicho kitatoa mafunzo kwa wanaume na wanawake kulitumikia taifa kwa kazi za upolisi na ulinzi, ikiwa ni pamoja na kutoa elimu na kozi kwa wafanyakazi wengine wanaofanya kazi kwenye sekta ya usalama wa taifa.
Chuo pia kitafanya utafiti katika masuala ya usalama.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji