Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Mei 10, 2012
Kamati ya Usalama ya Pamoja ya Somalia Jumatano (tarehe 9 Mei) waliidhinisha pendekezo la kuunganisha vikosi shirika vya serikali kupambana na al-Shabaab na al-Qaeda, gazeti la Africa Review liliripoti.
Vikiosi hivi vitafanya kazi chini ya uongozi wa Wizara ya Ulinzi ya Somalia. Kamati hiyo ambayo hukutana kila baada ya miezi miwili, ina wawakilishi kutoka Umoja wa Afrika, Umoja wa Mataifa na Mamlaka kati ya nchi kwenye maendeleo miongoni mwao. Maofisa kutoka Puntland, Galmudug na Ahlu Sunna wal Jamaa walihudhuria pia.
Waziri Mkuu Abdiwel Mohamed Ali ambaye alikuwa mwenyekiti wa mkutano huu aliupitia mpango huo akisema amri kutoka makao makuu ya jeshi itaweza kuongoza vikosi hivyo.
Waziri wa Ulinzi wa Somalia Hussein Arab Issa aliwaambia waandishi wa habari baada ya kikao hicho kuwa washiriki wametoa wito kwa ajili ya kuunda makambi ya jeshi kuwa wenyeji wa vikosi vipya vya pamoja.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji