Mei 08, 2012
Klabu ya Mabingwa wa Mpira wa Wavu Afrika imeanza wiki hii nchini Kenya, kutetea ubingwa wa timu ya Kenya Prisons kujiandaa kushinda katika mchezo wake wa nne, gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti siku ya Jumatatu (tarehe 7 Mei).
Kenya itawakilishwa na timu tatu -- Prisons, Pipeline na Kenya Commercial Bank – na timu za wenyeji zote zinatarajiwa kumiliki mashindano. .
"Miaka mitatu iliyopita tulikuwa na timu za Kenya zilizoongoza," Kiongozi wa Shirikisho la Mpira wa Wavu Evans Wasike alisema, kwa mujibu wa gazeti la Business Daily Africa. "Tunatarajia wasichana wenyeji watakuwa mstari wa mbele na tunaamini kwamba watafanya vizuri, lakini pia tuna wasiwasi na vitisho vilivyotolewa na timu nyingine, hasa ya North Africans."
Kocha Mkuu wa Timu ya Prisons David Lung'aho aliliambia gazeti la Daily Nation, "Wasichana wana motisha, lakini haitakuwa rahisi kwetu, sasa kwamba tunatetea ubingwa. Timu nyingi zitataka kututoa katika ushindi kwa mara ya nne."
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
Watu watano walikamatwa siku ya Jumanne mjini Dar es Salaam wakiwa na vifaa vya kulipua katika mi...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta aliwataka wabunge kuweka kando madai yao ya kuongezwa mishahara kwa ...
Majeshi ya serikali ya Somalia waliwaua wanamgambo tisa wa al-Shabaab wakati wa mapambanao hapo J...
Mtu asiyejulikana alimpiga kwa risasi na kumuua ofisa wa kitengo cha usalama cha kijeshi huko kas...
Muungano wa Jubilee tawala cha Kenya kilichukua uongozi wa kamati mbili muhimu za bunge Ijumaa (t...
Chama cha Wafanyabiashara na Asasi ya Chakula na Kilimo ya Umoja wa Mataifa vinatoa mafunzo kwa w...
Balozi wa Umoja wa nchi za Ulaya nchini Tanzania Filiberto Ceriani Sebregondi aliwahamiza waandis...
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji