Mei 08, 2012
Serikali ya Kenya imegawa shilingi milioni 106 (Dola za Marekani million 1.3) kwa kampuni za teknolojia nchi nzima ili kuhimiza maendeleo ya maudhui ya dijitali, gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti Jumatatu (tarehe 7 Mei).
Zaidi ya mashirika 30 yaliteuliwa kutoka katika maombi 790 ya fedha. Mashirika yatafanya kazi ya kubadilisha mihutasari ya shule kuwa katika mfumo wa dijitali na kuanzisha michezo ya video na programu za sekta ya afya.
"Sasa tumeacha kujadili miundombinu hadi kwenye maendeleo ya maudhui, sera nzuri na kujenga uwezo wa tasnia," alisema Katibu Mkuu wa Habari na Mawasiliano Bitange Ndemo.
Mradi wa kugharamia maudhui ya dijitali ni sehemu ya msaada wa shilingi milioni 250 (Dola za Marekani milioni 3) kutoka Benki ya Dunia, ambao unakusudia kuhamasisha ugunduzi wa kiteknolojia wa wenyeji.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji