Jumuiya ya Afrika Mashariki yaanzisha taasisi ya bunge

Mei 08, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Ofisi ya Maspika wa Jumuiya ya Afrika Mashariki liliidhinisha siku ya Jumanne (tarehe 8 Mei) uanzishwaji wa Taasisi Mpya ya Bunge la Afrika Mashariki (EAPI) kuongeza uwezo wa wabunge katika kanda.

Taasisi hiyo itakuwa chini ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ikisisitiza ujenzi wa uwezo, ujuzi na weledi kwa wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Maspika waliokusanyika huko Kigali wameagiza mabunge ya nchi wanachama wa jumuiya hiyo kuunda kamati za kuhimiza uhusiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki gazeti la The Standard la Kenya liliripoti.

Mswada unapendekeza uanzishwaji wa taasisi hiyo uliidhinishwa na marais wa Burundi, Uganda, Rwanda na Kenya, na sasa upo kwa rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo