Mei 07, 2012
Waziri wa Mipango na Ushirikiano wa Kimataifa wa Somalia, Abdullahi Godah Barre, alimpokea mjumbe wa Shirika la Chakula Duniani (WFP), Stefano Porretti, hapo Jumapili (tarehe 6 Mei), liliripoti Shirika la Habari la Somalia.
Maafisa hao wawili walijadiliana mikakati ya kutoa misaada ya kibinaadamu katika msimu wa mvua unaokuja, hasa katika njia bora kabisa za kupunguza athari mbaya za mvua hizo kwa watu wanaoishi kwenye makambi wa wakimbizi, Barre aliwaambia waandishi wa habari baada ya mkutano.
Porretti aliishukuru serikali ya Somalia kwa ushirikiano wake na shirika la WFP wakati shirika hilo linapojitolea kuwasaidia watu walio kwenye mazingira magumu kupitia misaada ya chakula na misaada mengineyo. Alisema WFP iko tayari kuongeza juhudi zake kuwasaidia raia wa Somalia.
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
Mahakama moja ya Bosaso iliwatia hatiani na kuwapiga faini Wairani 78 siku ya Jumapili (tarehe 19...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata watuhumiwa 15 kuhusiana na kulichoma Kanisa la Bethania kweny...
Mkuu wa Polisi wa Kenya, David Kimaiyo, ameondoa nafasi za afisa polisi wa jimbo, afisa wa upelel...
Watu wenye silaha waliwaua watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne katika mashambulizi tofauti kw...
Mkutano wa kuzungumzia uwezekano wa uchimbaji mafuta na gesi, uwekezaji, usalama na miundombinu n...
Wizara ya Masuala ya Wanawake na Familia ya Puntland ilianza mafunzo ya siku nane hapo Juampili (...
Zaidi ya Wasomali milioni 1 hawatakuwa na "usalama wa chakula" hadi mwezi wa Septemba, Mtandao wa...
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji