Mei 07, 2012
Walinzi wa Mwambao wa Yemen waliwatia mbaroni washukiwa wa Kisomali 14 karibu na Kisiwa cha Socotra katika Ghuba ya Aden (tarehe 6 Mei), Wizara ya Ulinzi ya Yemen ilitangaza.
Wizara hiyo ilisema washukiwa wamepelekwa kwa mamlaka za usalama kwa uchunguzi.
Uharamia ni tatizo linaloendelea katika maji kati ya Somalia na Yemen, ikiwemo Ghuba ya Aden na katika bahari ya Uarabuni.
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Yemen ilitangaza mwezi uliopita kuwa meli ya vita ya Hispania ilikuwa ikisaidia kuokoa wavuvu tisa wa Yemen kufuatia kutekwa na maharamia.
Mahakama ya kusikiliza makosa ya jinai ya Yemen ilitoa hukumu kwa maharamia wa Kisomali 10 kwenda jela miaka 10 mwezi Novemba mwaka uliopita baada ya kuwakuta na hatia ya uharamia katika maeneo ya bahari ndani ya mipaka ya nchi ya Yemen, vyombo vya habari vya ndani viliripoti.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji