Mei 04, 2012
Serikali ya Kenya ilitangaza hapo Alhamisi (tarehe 3 Mei) kuingia ubia na kampuni ya LG Electronics, Intel na Microsoft ili kuufanya mtaala wa shule za sekondari kuwa katika mfumo wa dijitali nchini kote.
Kuanzia mwezi ujao, wanafunzi wataweza kupata maandishi ya shule katika mfumo wa dijitali kwa kutumia kompyuta na simu zao za mikononi, ili kuimarisha njia za ufundishaji na usomaji, gazeti la Kenya la Daily Nation liliripoti.
Vitabu na muhtasari ni miongoni mwa vitu vitakavyokuwa katika mfumo wa dijitali, na walimu watapata mafunzo juu ya matumizi ya nyanja hizi mpya.
“Kujifunza kwa njia ya elektroniki (E-learning) kunawarahisishia wanaojifunza na walimu kufahamu dhana na kunaimarisha kiwango cha ufahamu na uwezo wa kujifunza kwa faida ya wanafunzi,” alisema Lydia Nzomo, mkurugenzi wa Taasisi Rasmi ya Elimu Kenya.
Kampuni za LG, Intel na Microsoft zitatoa msaada wa kompyuta kwa shule za Kenya ili kuhakikisha wanafunzi wanaweza kupata machapisho hayo katika mfumo wa dijitali.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji