Mei 04, 2012
Kamishna wa wilaya ya Beled Hawo ameonya dhidi ya ukataji haramu wa miti kwa ajili ya mkaa, na kutangaza faini ya dola 60 kwa watakaovunja amri hiyo, Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti hapo Alhamisi (tarehe 3 Mei).
Naye Mkuu wa Wilaya Mohamoud Ahmed Odweyne, pia hakimu wa wilaya, aliuambia mkusanyiko wa watu katika mji wa mpakani kuwa utawala wa Sunna wal Jamaa utachukua hatua kali kwa yeyote atakayekamatwa akikata miti kwa dhamira ya kutengeneza mkaa kwa kujipatia faida.
Ukataji miti una athari zisizorejesheka kwa mazingira na kunaweza kupelekea njaa, shirika hilo la habari liliripoti.
Hivi karibuni, Umoja wa Mataifa ulipitisha azimio la kupiga marufuku usafirishaji wa mkaa kutoka Somalia. Asilimia 80 ya mkaa unaozalishwa nchini Somalia unasafirishwa nje, hasa kwenda nchi za Ghuba.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji