Mei 04, 2012
Bunge la Kenya limeidhinisha maombi ya Tume ya Uchaguzi kutenga shilingi milioni 17.5 (dola za Kimarekani 211,000) kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao, Redio Capital FM News ya Kenya iliripoti siku ya Alhamisi (tarehe 3 Mei).
Bunge limekubaliana na kiwango chote cha fedha kilichoombwa na Tume "ili kuhakikisha kunakuwa na uchaguzi salama, wa kweli, wa amani, huru na wa haki", baraza la mawaziri lilisema katika ujumbe wake.
Baraza la mawaziri pia limeidhinisha ajira za walimu 10,000 kila mwaka, pamoja na madaktari na wafanyakazi wengine wa afya 900, maofisa wa polisi 7,000, na kununua magari ya polisi ya nyongeza.
Wakati wa kikao chake, bunge liliamua uwekezaji wa rasilimali za nyongeza na sekta za kiintelijensia kuhakikisha usalama wakati wote wa uchaguzi. Bunge pia liliendeleza mapambano dhidi ya rushwa, kwa kusaidia uundaji mpya wa tume ya kupambana na rushwa.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji