Mei 01, 2012
Mahakama ya Kenya imeomba bunge kuidhinisha bajeti ya shilingi bilioni 16.8 (dola za Kimarekani milioni 202) kwa ajili ya kuajiri wafanyakazi wa ziada wa mahakama, liliripoti gazeti la Kenya la The Standard hapo Jumatatu (tarehe 30 Aprili).
Fedha hizo zitatumika kuajiri “majaji, mahakimu na makadhi 275 pamoja na wafanyakazi wa sekta ya utaamalu 185 kutuwezesha kutimiza wajibu wetu,” alisema Gladys Shollei, mrajisi mkuu Mahakama Kuu.
Uajri huu wa ziada utairuhusu mahakama kukabiliana na mrundikano wa kesi, alisema. “Huwezi kuendesha mahakama kwa bajeti ya shilingi bilioni 7.9 (sawa na dola za Kimarekani milioni 95),” alisema Shollei.
Ikiwa pendekezo hili litaridhiwa, maafisa wa mahakama watalazimika kufuta mikataba ya wafanyakazi walioajiriwa katika utaratibu wa kukabiliana na mrundikano wa kesi, baadhi yake zikiwa zimeshachukua miaka 20 zikiwa mahakamani.
Hii ni mara ya kwanza kwa mahakama kupendekeza bajeti ya ziada kwa bunge.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji