Aprili 30, 2012
Vikosi vya Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia viliwakamata watu 15 wanaoaminiwa kuwa na uhusiano na al-Shabaab, Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti hapo Jumapili (tarehe 29 Aprili).
Operesheni hiyo ilikuja baada ya viongozi kupokea habari za kuaminika kuwa baadhi ya vijana katika eneo la Hudur wanapanga kufanya uhalifu. Washukiwa wameshikiliwa na polisi na wanasubiri kuhojiwa.
Ikiwa viongozi watagundua kuwa washukiwa hao wana uhusiano na al-Shabaab, serikali itaandaa mashitaka na watafikishwa mahakamani.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji