Aprili 29, 2012
Serikali ya Somalia imepinga vibaya lawama ya utendaji vibaya wa mfungwa katika jela za Mogadishu, Mtandao wa Habari wa Shabelle Media Network wa Somalia uliripoti Jumapili (tarehe 29 Aprili).
Madai ya Serikali yamekuja kufuatia malalamiko ya hivi karibuni kuwa haki ya kutembelewa katika magereza imezuiliwa na kuwa wafungwa wanatendewa kinyume cha ubinadamu. Fujo na majaribio ya kushambulia magereza yalitokea katika magereza kuu ya Mogadishu wiki iliyopita.
Afisa mwandamizi wa usalama Abdi Mohammed Ismail alisema wafungwa hao wanaangaliwa vizuri na wana haki ya kutembelewa na marafiki na familia.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji