Aprili 29, 2012
Si chini ya watu wawili walikufa katika mapambano Jumamosi usiku (tarehe 28 Aprili) kati ya vikosi vya serikali ya Somalia na wanamgambo wa al-Shabaab katika vitongoji vya Mogadishu, Mtandao wa Habari wa Shabelle Media Network wa Somalia uliripoti.
Makabiliano hayo yalianza wakati al-Shabaab waliposhambulia kituo cha jeshi cha serikali katika vijiji vya Hosh na Asbluta kusini mwa Mogadishu, kwa mujibu wa Kamanda wa Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia Abdullah Osman.
Vikosi vya Serikali ya Somalia na Umoja wa Afrika vilizuia wanamgambo na kukwamisha jaribio lao la kuvuruga amani katika eneo hilo, Kamishina wa Wilaya ya Darkenley Moalim Addulle aliimbia Redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na UN.
Polisi nchini Tanzania wamewakamata watu 90 siku moja baada ya maandamano ambapo mtu mmoja aliuaw...
Kenya ililiomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) kufutwa kw...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia aliongoza sherehe za maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa ...
Mawaziri wa mambo ya nje wa mataifa wanachama wa Shirika la Maendeleo la Pembe ya Afrika (IGAD) w...
Kiongozi wa jamii huko Zanzibar, Mohammad Omar Said, alishambuliwa kwa tindikali siku ya Alhamisi...
Mahakama moja ya Puntland imewahukumu kifo watu saba kwa mauaji ya ulamaa wa Kisomali, Abdulkadir...
Shirika la kimataifa la misaada la Global Partnership for Education (GPE) limetangaza msaada wa d...
Shirika la kimataifa la kuteteta haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito kwa Kenya...
Makamu wa Rais wa Kenya William Ruto ameahidi adhabu kali zaidi kwa majangili katika mswada wa Sh...
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji