Hiran kuchukua hatua dhidi ya fedha bandia

Aprili 27, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Utawala wa mkoa wa Hira hapo Alhamisi (tarehe 26 April) iliwaonya raia kujikinga na fedha bandia, redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti.

Mkuu wa Mkoa Abdifatah Hassan Afrah alisema kuwa katika siku tatu, serikali itaanza kuchukua hatua dhidi ya yeyote anayemiliki fedha bandia za Somalia, zinazojulikana kama "noti nyeupe".

Matumizi ya fedha bandia yana uwezo wa kusababisha mfumko wa bei, alionya. Alisema uchunguzi unaendelea ili kuwagundua wale wanaohusika na kuleta fedha bandia huko Hiran.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, serikali za majimbo ya shirikisho ziundwe vipi nchini Somalia kufuatia utata wa Jubbaland?

Angalia matokeo