Aprili 26, 2012
Bodi ya Uchunguzi wa Majaji na Mahakimu ya Kenya imewafukuza majaji wanne waandamizi ambao iliwakuta hawafai kufanya kazi, mwenyekiti wa bodi Sharad Rao alitangaza Jumatano (tarehe 25 Aprili).
Jopo la uchunguzi, lililoundwa mwaka kufuatia vurugu za baada ya uchaguzi, ilipewa kazi ya kuchunguza utendaji haki wa mahakama za Kenya, Redio Capital FM News ya Kenya iliripoti.
Jaji Riaga Omolo, mkuu wa mahakama ya rufaa, alikuwa ni miongoni mwa majaji waliofukuzwa. Omolo alipatikana kuwa na upendeleo katika kazi, pamoja na hukumu zisizolingana katika kesi za kisiasa. “Katika mambo yote ya kisiasa yaliyotangazwa sana, uamuzi wa [Omolo] ulionekana kuwa na upendeleo wa ugandamizaji kuliko kutoa nafasi ya wazi kwa maelezo ya kidemokrasia,”
Majaji wanne waliofukuzwa wana wiki moja ya kukata rufaa ya uamuzi huo. Majaji wengine watano walifutiwa mashitaka na wataendelea na kazi yao.
"Tunaipongeza bodi kwa kazi ambayo wameifanya,” alisema Waziri wa Mambo ya Katiba Eugene Wamalwa. “Hii ni hatua nyingine ambayo tumeichukua kurejesha imani ya wananchi katika taasisi hii muhimu, na kadri tunavyoendelea, kutakuwa na uharibifu wa pande zote, lakini lazima tuhakikishe imani ya wananchi inarejeshwa.”
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji