Baraza la Katiba Tanzania laomba maoni ya wananchi

Aprili 25, 2012

  • 1 Maoni
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Baraza la Katiba la Tanzania linashirikiana na shirika lisilo la kiserikali la HakiElimu kuwahimiza wananchi kubadilishana mawazo yao katika mchakato wa mabadiliko ya katiba, gazeti la Daily News la Tanzania liliripoti siku ya Jumatano (tarehe 25 Aprili).

Mashindano ya Katiba yatotoa zawadi ya kati ya shilingi 200,000 na 500,000 (Dola za Marekani 126-319) kwa insha bora itakayofafanua kitu ambacho wananchi wanataka kukiona katika katiba.

"Tunapenda kuwahamasisha watu kutoa maoni yao kuhusu katiba mpya kwa kuandika insha au kuchora michoro na kila mmoja anaweza kushiriki," alisema Nyanda Shuli, meneja wa habari na utetezi wa HakiElimu.

Maoni kuhusu mtazamo wa wananchi yatakayopatikana kutokana na shindano yatapelekwa katika kamati ya wajumbe 30 wa kupitia katiba, walioteuliwa na Rais Jakaya Kikwete mapema mwezi huu.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Maoni ya msomaji

  • khalfan said khalfan
    November 17, 2012 @ 11:10:29PM

    MAONI YANGU KATIKA MABADILIKO YA KATIBA NAHITAJIA KUWEPO KWA MUUNGANO WA MKATABA AMBAO UTAUNGANISHWA NA SEREKALI YA TANGANYIKA NA SERIKALI YA ZANZIBAR. TUNAHITAJI RAIS WA ZANZIBAR KUTAMBULIKA KITAIFA NA KIMATAIFA. MFUMO WA ELIMU ZA JUU UWE CHINI YA ZANZIBAR KWA UPANDE WA ZANZIBAR.

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo