Aprili 25, 2012
Umoja wa nchi za Ulaya unapanga kuanza programu ili kusaidia kuimarisha ulinzi wa baharini katika Afrika Mashariki jinsi mashambulizi ya maharamia yanavyopungua katika kanda, Balozi wa EU Tanzania, Filiberto Ceriani Sebregondi, alitangaza siku ya Jumanne (tarehe 24 Aprili).
Programu ya kanda ya kujenga Uwezo wa Baharini, ambayo inahusisha Somalia, Kenya, Tanzania na Djibouti, Ushelisheli na Mauritius, itaendeshwa kwa mwaka mmoja hadi miwili, kwa uwezekano wa kuongezwa, Sebregondi alisema, kwa mujibu wa Bloomberg. Huko Somalia, itasisitiza mafunzo ya polisi na mahakama ili kuwezesha nchi kushughulikia makosa ya uharamia ndani ya nchi.
Mashambulizi ya kiharamia katika pwani ya Somalia yamepungua kutoka matukio 97 hadi 43 katika robo ya kwanza ya 2012, kwa mujibu wa Ofisi ya Mambo ya Bahari ya Kimataifa.
EU pia inapanga kutumia euro milioni 16 (Dola milioni 21) miaka miwili ijayo katika programu yake ya kupambana na uharamia katika pwani ya Somalia ili kulinda meli za chakula cha msaada za Umoja wa Mataifa zinazoingia nchini.
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
Mahakama moja ya Bosaso iliwatia hatiani na kuwapiga faini Wairani 78 siku ya Jumapili (tarehe 19...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata watuhumiwa 15 kuhusiana na kulichoma Kanisa la Bethania kweny...
Mkuu wa Polisi wa Kenya, David Kimaiyo, ameondoa nafasi za afisa polisi wa jimbo, afisa wa upelel...
Watu wenye silaha waliwaua watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne katika mashambulizi tofauti kw...
Mkutano wa kuzungumzia uwezekano wa uchimbaji mafuta na gesi, uwekezaji, usalama na miundombinu n...
Wizara ya Masuala ya Wanawake na Familia ya Puntland ilianza mafunzo ya siku nane hapo Juampili (...
Zaidi ya Wasomali milioni 1 hawatakuwa na "usalama wa chakula" hadi mwezi wa Septemba, Mtandao wa...
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji