Aprili 25, 2012
Vikosi vya ulinzi vya serikali ya Somalia vimewapiga risasi na kuwaua wafuasi wane wa al-Shabaab huko Mogadishu Jumanne (tarehe 24 Aprili) baada ya wapiganaji kuwaua raia wawili katika sehemu mbalimbali ya mji, Jeshi la Ulinzi la Taifa la Somalia limesema katika taarifa yake.
Vikosi vya ulinzi viliwaua wapiganaji wawili, ambao walikuwa na bastola, baada ya kumuua mtu aliyekuwa anatoka msikitini katika kijiji cha Blacksea. Saa chache baadaye, vikosi vya ulinzi viliwapiga risasi na kuwaua wapiganaji wengine wawili katika kijiji cha KPP baada ya kumuua kijana. Vijiji vyote viko katika wilaya ya Hodan.
Wapiganaji walipewa nafasi ya kujisalimisha kwa vikosi vya ulinzi, lakini walikataa, kwa mujibu wa Jeshi la Ulinzi la Taifa la Somalia.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji