Rais wa Somalia atangaza kugombea uchaguzi baada ya mpito

Aprili 25, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Rais wa Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed alitangaza ugombea wake kuwa rais baada ya serikali ya mpito, Redio RBC ya Somalia iliripoti Jumatano (tarehe 25 Aprili).

"Ninataka kuweka wazi kuwa, kama mtaniruhusu, nitakuwa mgombea wa urais mwezi Agosti unaokuja,” Ahmed alisema wakati wa kumbukumbu ya miaka 52 ya vikosi vya jeshi la Somalia hapo Jumatatu.

Rais huyo pia aliwahamasisha Wasomali na bunge kudumisha kujiamini kwao katika Mpango, ambao serikali ya mpito itahitimishwa na uchaguzi utafanyika kwa uongozi mpya Agosti 2012.

“Tunataka uchaguzi kufanyika na kuingia katika mfumo kamili wa serikali ya Somalia,” alisema. “Kama mtakataa yote haya, inawezekanaje kusonga mbele?”

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 1)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo