Aprili 24, 2012
Wazee katika eneo la Gedo kusini magharibi mwa Somalia wanatoa wito wa msaada wa dharura wa kibinadamu, redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti hapo Jumatatu (tarehe 23 Aprili).
Muhumed Ali, mzee wa mji wa Beled Hawo, alikiambia kituo hicho cha redio kuwa maeneo ya Jiracle, Kamaro Kof na Tula Amin kuwa wanahitaji msaada wa haraka, kwa vile ukosefu wa chakula umewaacha na njaa wakazi wengi wa eneo hilo.
Alisema mamia ya watu waliokimbia makazi yao kutokana na mapigano katika wilaya za Garbaharey, Bardera na Bardube ndio walioathirika zaidi.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji