Ujumbe wa Kenya wawasili Mogadishu

Aprili 23, 2012

  • 1 Maoni
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Ujumbe wa Kenya unaoongozwa na Naibu Waziri wa mambo ya nje Richard Onyonka uliwasili Mogadishu Jumapili (tarehe 22 Aprili) kujadili uhusiano wa pande mbili.

Onyonka alifanya mazungumzo na rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed ambapo waliripotiwa kujadili uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi mbili na mapambano dhidi ya wapiganaji wa al-Qaeda wenye uhusiano na kundi la al-Shabaab.

Kwa sasa vikosi vya Kenya ni sehemu ya misheni ya Umoja wa Afrika ambayo inakusudia kuwatokomeza al-Shabaab.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Maoni ya msomaji

  • ben
    April 24, 2012 @ 04:04:17AM

    Mwanzo nzuri. Hongera.

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, serikali za majimbo ya shirikisho ziundwe vipi nchini Somalia kufuatia utata wa Jubbaland?

Angalia matokeo