Ungependa kuifanya Kiswahili kuwa lugha ya chaguo lako, katika tovuti hii? |
Aprili 22, 2012
Kulikuwa na mashambulizi machache ya kiharamia yaliyofanikiwa katika Bahari ya Hindi katika robo ya kwanza ya mwaka 2012 kuliko katika kipindi kama hicho mwaka jana, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Vikosi vya Maji vya Umoja wa nchi za Ulaya huko Somalia (EU NAVFOR).
Ripoti ilitaja mashambulizi 27 ya kiharamia kati ya Januari na Aprili, yakilinganishwa na 91 mwaka jana. Kiwango cha kufanikiwa kwa uharamia kilishuka hadi asilimia 14 katika robo ya kwanza mwaka jana, kikilinganishwa na asilimia 27 katika kipindi kama hicho mwaka 2010 na asilimia 28 mwaka 2009.
Kushuka kwa shughuli za uharamia ni kutokana na ongezeko la ulinzi wenye silaha katika meli za biashara, kuwepo kwa vikosi vya majini vya kigeni katika njia za meli na mashirika ya meli kuongeza umakini katika taratibu nzuri za usimamizi, kwa mujibu wa ofisa habari wa EU NAVFOR Timo M. Lange.
Ili kuzuia uharamia na uvamizi wa kutumia silaha, EU NAVFOR imetoa wasindikizaji kwa meli 150 za Programu ya Chakula Duniani na meli 126 za AMISOM. Lakini bado maharamia wanashikilia meli tisa na mateka 242.
Raisi wa Kenya Uhuru Kenyatta siku ya Alhamisi (tarehe 23 Mei) alitoa majina mawili ya mwisho ya ...
Watu watano waliuawa na wanne kujeruhiwa katika mashambulizi mawili kwenye eneo la kaskazini mash...
Sababu kuu ya vurugu ambazo ziliua zaidi ya watu 150 katika Delta ya Mto Tana mwaka jana ilitokan...
Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza mlipuko wa polio katika Pembe ya Afrika siku ya Jumatan...
Majeshi ya serikali ya Somalia yamezifungia kampuni za mawasiliano ya simu na biashara nyingine h...
Serikali ya Somalia itaanza kuunda tawala za kikanda katika maeneo yaliyokombolewa kutoka kwa al-...
Waziri wa Nishati wa Djibouti Ali Yacoub Mohamoud na Balozi wa Japani nchini Djibouti Atsushi Nis...
Ufunguzi wa Mkutano wa Wasambazaji wa mafuta na gesi Tanzania utafanyika huko Dar es Salaam tareh...
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji