Aprili 22, 2012
Kulikuwa na mashambulizi machache ya kiharamia yaliyofanikiwa katika Bahari ya Hindi katika robo ya kwanza ya mwaka 2012 kuliko katika kipindi kama hicho mwaka jana, kwa mujibu wa ripoti ya hivi karibuni ya Vikosi vya Maji vya Umoja wa nchi za Ulaya huko Somalia (EU NAVFOR).
Ripoti ilitaja mashambulizi 27 ya kiharamia kati ya Januari na Aprili, yakilinganishwa na 91 mwaka jana. Kiwango cha kufanikiwa kwa uharamia kilishuka hadi asilimia 14 katika robo ya kwanza mwaka jana, kikilinganishwa na asilimia 27 katika kipindi kama hicho mwaka 2010 na asilimia 28 mwaka 2009.
Kushuka kwa shughuli za uharamia ni kutokana na ongezeko la ulinzi wenye silaha katika meli za biashara, kuwepo kwa vikosi vya majini vya kigeni katika njia za meli na mashirika ya meli kuongeza umakini katika taratibu nzuri za usimamizi, kwa mujibu wa ofisa habari wa EU NAVFOR Timo M. Lange.
Ili kuzuia uharamia na uvamizi wa kutumia silaha, EU NAVFOR imetoa wasindikizaji kwa meli 150 za Programu ya Chakula Duniani na meli 126 za AMISOM. Lakini bado maharamia wanashikilia meli tisa na mateka 242.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji