Aprili 17, 2012
Kikundi cha kimataifa cha misaada ya kibinadamu, Madaktari Wasio na Mipaka (MSF), hawataanza miradi mingine yoyote mipya isiyo ya dharura nchini Somalia mpaka wafanyakazi wawili wanaoshikiliwa mateka waachiwe, redio Bar-Kulan inayofadhiliwa na Umoja wa Mataifa iliripoti Jumatatu (tarehe 16 Aprili), ikinukuu taarifa ya kikundi hicho.
Blanca Thiebaut na Monserrat Serra wanashikiliwa mateka nchini Somalia toka mwezi Oktoba 2011, wakati walipotekwa kutoka katika kambi ya wakimbizi ya Dadaab katika jimbo la Kaskazini Mashariki nchini Kenya, ambalo linawahifadhi wakimbizi wa Somalia zaidi ya 450,000.
MSF kwa sasa wanaendesha miradi ya tiba nchini Somalia katika vituo 22 kati kusini mwa Somalia. Taarifa hiyo ilisema kuwa shirika hilo litaendelea kujishughulisha na dharura za kuokoa maisha.
Thiebaut na Serra waliripotiwa kuonekana mara ya mwisho Lower Shabelle mwezi Disemba.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji