Aprili 03, 2012
Uwanja wa Michezo wa Moi huko Kisumu Kenya utaboreshwa kwa kutumia shilingi milioni 42 (Dola za Kimarekani 500,000) kutoka Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), gazeti la Daily Nation la Kenya liliripoti Jumatatu (tarehe 2 Aprili).
Fedha zitalipwa kwa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kenya (FKF) kama sehemu ya jitihada za Lengo la Mradi lililokusudiwa kuchangia programu za maendeleo ya mpira wa miguu kwa nchi zinazoshiriki.
FKF litatumia fedha hizo kuufanya uwanja huo kuwa wa kisasa, kujenga ukuta wa mzunguko na kukarabati vyumba vyenye makabati ya kuhifadhia vitu na maboresho mengine. Baada ya ukarabati huo, Uwanja wa Michezo wa Moi utakuwa wa tatu nchini Kenya kufikia viwango vya mahitaji ya FIFA kwa ajili ya mashindano ya michezo ya kimataifa.
"Kama shirikisho, tumefurahishwa mno na FIFA kukubali kukisaidia fedha chama chetu," alisema mwenyekiti wa FKF Sam Nyamweya.
Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto, alisema kazi za Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia ...
Rais Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alipokea vyeti vya utambul...
Kwa uchache watu wanne waliuawa na watatu kujeruhiwa siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) baada ya wa...
Kenya na Tanzania zilifanya operesheni ya pamoja ya ulinzi wa mpaka siku ya Alhamisi (tarehe 16 M...
Mwanachama wa kundi la wanamgambo wanaoiunga mkono serikali ya Somalia la Ahlu Sunna wal Jamaa, A...
Wanawake watatu waliuawa usiku wa Alhamisi (tarehe 16 Mei) katika eneo la Malkamau kwenye Kaunti ...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon. siku ya Alhamisi (tarehe 16 Mei) alimteua waziri wa...
Tanzania na Canada zimesaini mkataba wa ushirikiano yanayokusudiwa kuimarisha na kuunda mazingira...
Jeshi la Taifa la Somalia liliwauwa wanamgambo 13 wa al-Shabaab siku ya Jumanne (tarehe 14 Mei), ...
Muda wa mwisho kwa wakaazi wa Mandera kusalimisha silaha zao haramu umeongezwa hadi Ijumaa (tareh...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Angalau Kenya imeanza kupiga hatua miongoni mwa nchi za dunia ya tatu.