Machi 30, 2012
Kamati ya Pakistani imefikia mwafaka siku ya Alhamisi (tarehe 29 Machi) kuhusu kuwaachia huru mateka waliokamatwa na maharamia wa Somalia miezi 17 iliyopita wakati wa kuteka nyara katika Ghuba ya Aden, viongozi walisema.
Kamati hiyo iliongozwa na viongozi waandamizi wa siasa kutoka Pakistani, walikataa maharamia kulipiwa fidia walioombwa ya dola za kimarekani milioni 10, lakini walikubaliana kuwalipa gharama walizoingia kwa miezi 17 iliyopita, chombo cha habari cha Gulf huko Jamuhuri ya Kiarabu kiliripoti.
Watu 21 waliotekwa walikuwa mabaharia waliokuwa katika meli ya mizigo ya MV Albedo wakati ilipotekwa nyara mwezi Novemba mwaka 2010. Baharia mmoja ambaye ni raia wa India alifariki kwa kipindupindu akiwa kifungoni. Mabaharia wengine walikuwa ni kutoka Pakistan, Srilanka, Bangladesh na Iran.
"Tangu mahakama ya kikabila itoe hukumu dhidi ya uharamia na dhidi ya kulipa fidia yoyote kwa mateka iliwalazimisha kuomba gharama kama uamuzi wa mwisho, na mwisho tuliishia katika malipo ya Dola za Marekani 50 kwa mtu mmoja kwa siku," alisema Gavana Ishratul Ebad Khan wa Jimbo la Sindh la Pakistan. "Kwa kuzingatia takriban watu 100 walikaa katika meli kwa kipindi chote hicho, jumla ya gharama ni Dola za Marekani milioni 2.85."
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji