Machi 30, 2012
Rais wa Somalia Sheikh Sharif Sheikh Ahmed aliwaomba viongozi katika mkutano wa wakuu wa nchi za kiarabu huko Baghdad Alhamisi (tarehe 29 Machi) kuongeza msaada kwa Somalia.
Ahmed pia alitoa wito kwa wakuu wa nchi za Kiarabu kutoa mafunzo kwa vikosi vya usalama vya Somalia ili kusaidia kurejesha amani na utulivu katika nchi na kuwashinda al-Shabaab, Mtandao wa Habari wa Shabelle wa Somalia uliripoti.
Katika taarifa yake ya kufunga, Katibu Mkuu wa Umoja wa Kiarabu Nabil al-Arabi alisema ajenda zilikuwa na makubaliano tisa yaliyokubaliwa, ikiwa ni pamoja na iliyokuwa na maelezo ya kina ya jitihada za mapambano ya ugaidi wa kimataifa, Mtandao wa Habari wa Kulmiye wa Somalia uliripoti. Makubaliano pia yalitoa wito kwa suluhisho la amani kwa Syria na Somalia.
Viongozi wa Kiarabu wanasaidia Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia katika utendaji wake, al-Arabi alisema.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji