Machi 25, 2012
Wadhibiti wa bima wa Afrika Mashariki walisema katika taarifa kwa Benki ya Dunia kwamba viwango vilivyounganishwa vinahitajika kwa ajili ya ushirikiano wa kikanda na upanuzi wa nje ya mipaka, gazeti la The East African la Kenya liliripoti Jumamosi (tarehe 24 Machi).
Taarifa ya Umoja wa Wasimamizi wa Bima Afrika Mashariki (EAISA) ilipendekeza uanzishwaji wa bodi moja ya usimamizi.
"Sheria zilizopo zinaifanya biashara ya bima kuwa ghali katika nchi hizo," alisema Tom Gichuhi, Mtendaji Mkuu wa Umoja wa Makampuni ya Bima ya Kenya. "Hadi soko la pamoja litakapoanza kufanya kazi, makampuni ya bima ya Kenya hayatafaidika katika fursa mbalimbali za bima katika soko [la Jumuiya ya Afrika Mashariki]," alisema.
Kwa sasa, kampuni za bima zinalazimishwa kuingiza makampuni mapya badala ya kufungua matawi mapya nje ya mipaka ili kuufanya upanuzi kuwa "suala la gharama", alisema Gichuhi.
Kuoanisha sheria ili kupunguza gharama katika upanuzi wa nje ya mipaka kutaongeza biashara ya bima kupenya katika kanda na kufungua fursa za biashara kwa Afrika Mashariki, gazeti liliripoti.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji