Kikosi cha Jamhuri ya Djibouti champa heshima mshindi wa mbio za nyika

Machi 12, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Kikosi cha Ulinzi cha Jamhuri ya Djibouti kimemtunukia heshima mshindi nusu wa mbio za nyika, Moumin Guelleh, hapo Jumamosi (Machi 10), limeripoti gazeti la nchi hiyo, La Nation. Katika sherehe za kuadhimisha ushindi wa Guelleh katika Mbio Nusu za Kimataifa za Djibuti, mwanariadha huyo alipandishwa cheo cha luteni kufuatia uamuzi maalum wa Rais Ismail Guelleh.

Wakati sherehe za kuadhimisha Guushindi wa Guelleh katika Mbio za Djibouti za Kimataifa za Nusu Marathoni, mwanariadha huyo alipandishwa cheo cha luteni kufuatia uamuzi maalum wa Rais Ismail Guelleh.

Mkuu wa Kikosi cha Ulinzi cha Jamhuri, Kanali Mohamed Djama, alisema Rais Guelleh alitaka kuwapa moyo wanariadha wa Djibouti kama Guelleh, “ambaye amerudisha taswira ya wanariadha wa taifa.".

Djama alisema anatarajia kwamba Moumin Guelleh ataendelea kudumisha uanariadha wake na atang’ara katika michezo ya Olimpiki ya mwaka huu jijini London.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo