Machi 09, 2012
Askari wa Kenya watajiunga rasmi na kikosi cha Misheni ya Umoja wa Afrika Somalia wiki ijayo, msemaji wa jeshi la Kenya Meja Emanuel Chirchir alisema katika Twitter hapo Alhamis (tarehe 8 Machi).
"Kuvaa kofia za kijani ambazo tumezisubiri siku nyingi hatimae kutatokea kwa askari mmoja moja/katika uwanja wa vita wiki ijayo," Chirchir alisema, bila ya kutaja siku hasa. "Tuko imara na AMISOM".
Vikosi vya Kenya, ambavyo vilingia Somalia mwezi Oktoba 2011, litajiunga na majeshi ya Umoja wa Afrika kutoka Uganda, Burundi na Djibouti, chini ya upanuzi wa AMISOM kulikoamuliwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa mwezi uliopita. Jeshi la Ulinzi la Kenya lilitangaza wiki iliyopita kuwa Jeshi la Kenya litaendelea nchini angalau mpaka utawala wa AMISOM utakapomalizika mwezi Oktoba mwaka huu.
Chirchir vilevile alisema kuwa vikosi vya Kenya na Serikali ya Mpito ya Shirikisho ya Somalia vilianzisha shambulizi huko Aglibah, kusini mwa Afmadow hapo Alhamis, na kuua wapiganaji sita wa al-Shabaab. Bunduki mbili za AK-47, risasi 200 na mitambo minne ya kurushia mabomu vilikamatwa wakati wa operesheni hiyo, alisema Chirchir.
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
Polisi nchini Tanzania ilituma timu maalum mjini Arusha siku ya Jumapili (tarehe 16 Juni) kuchung...
Ujumbe wa Yemen uliitembelea Djibouti mwishoni mwa wiki hii kwa ajili ya kusaini mikataba kadhaa ...
Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Mataifa kwa Somalia, Nicholas Kay, aliitembelea Djibouti siku ya Ju...
Watu kumi waliripotiwa kuuawa siku ya Jumamosi (tarehe 15 Juni) huko Jowhar katika mapigano yaliy...
Mashirika ya kupambana na ufisadi Kenya yameungana ili kuunda kituo kimoja cha malalamiko na rufa...
Watu wapatao watatu wanahofiwa kufa na 20 wengine kujeruhiwa vibaya sana baada ya milipuko mitatu...
Nchi kumi na tano na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zilihudhuria mkutano kuhusu hali yenye...
Shambulio la kifaa cha mlipuko wa kienyeji huko wilaya ya Wanlaweyne katika Mkoa wa Shabelle ya C...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji