Machi 01, 2012
Kampuni ya Umeme ya Serikali ya Kenya itatumia shilingi bilioni 20 (dola za Kimarekani milioni 241) kwa ajili ya mtandao wa nyaya chini ya ardhi ambao ni mzuri kwa mazingira kutoa huduma makini zisizo usumbufu mkubwa, limeripoti gazeti la Business Daily Africa hapo Jumatano (tarehe 29 Februari).
“Mradi huu utamaanisha usambazaji bora na wa kuaminika, unaopunguza makosa na usumbufu katika mfumo wa usambazaji,” alisema Joseph Njoroge, ambaye ni meneja mkurugenzi wa Shirika la Umeme la Kenya.
Laini za umeme za juu ya ardhi sasa zitahamishiwa chini ya ardhi, kwa kuanzia na wilaya za biashara katika miji ya Nairobi, Mombasa na Kisumu. Hatua hiyo itapunguza kukatika kwa umeme kutokana na sababu za kimazingira na hali mbaya ya hewa, alisema Njoroge.
Nyaya za chini ya ardhi zinachukuliwa kuwa ni salama kwa mazingira kwa sababu zinaepusha matumizi ya nguzo na ukataji wa miti kwa ajili ya kusafisha njia ya laini ya umeme, na pia zinapunguza utoaji wa maeneo ya umeme, limeripoti gazeti hilo.
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
Mahakama moja ya Bosaso iliwatia hatiani na kuwapiga faini Wairani 78 siku ya Jumapili (tarehe 19...
Polisi nchini Tanzania waliwakamata watuhumiwa 15 kuhusiana na kulichoma Kanisa la Bethania kweny...
Mkuu wa Polisi wa Kenya, David Kimaiyo, ameondoa nafasi za afisa polisi wa jimbo, afisa wa upelel...
Watu wenye silaha waliwaua watu wawili na kuwajeruhi wengine wanne katika mashambulizi tofauti kw...
Mkutano wa kuzungumzia uwezekano wa uchimbaji mafuta na gesi, uwekezaji, usalama na miundombinu n...
Wizara ya Masuala ya Wanawake na Familia ya Puntland ilianza mafunzo ya siku nane hapo Juampili (...
Zaidi ya Wasomali milioni 1 hawatakuwa na "usalama wa chakula" hadi mwezi wa Septemba, Mtandao wa...
Ujumbe kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya Pembe ya Afrika (IGAD) uliwatembelea maafisa mjini Mogadish...
Mshukiwa wa ugaidi na mke wake walipigwa risasi na kufa na maafisa sita wa polisi walijeruhiwa wa...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji