Dola za Marekani bilioni 1.5 zahitajika kuzuia njaa nchini Somalia: Mjumbe wa Umoja wa Afrika

Februari 14, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Mwakilishi Mkuu kwa Somalia wa Umoja wa Afrika Jerry Rawlings alisema nchi hiyo itakumbana na kurudia kwa tatizo la kibinadamu kama misaada haitapelekwa, Redio ya Bar-kulan ya Somalia iliripoti Jumanne (tarehe 14 Februari).

Wakati Umoja wa Mataifa umepunguza umuhimu katika hali ya njaa nchini Somalia, angalau Dola za Marekani bilioni 1.5 za msaada zinahitajika kupunguza njaa nyingine, alisema Rawlings. Mjumbe wa Umoja wa Afrika alisema watu milioni 9.5 bado wanaendelea kupata njaa katika Pembe ya Afrika, watu milioni 2.3 waliwa ni kutoka Somalia.

Rawlings, wamepongeza mafanikio yaliyopo ya dhamira ya Umoja wa Afrika nchini Somalia na Serikali ya Mpito ya Shirikisho kuilinda nchi na kuwatoa al-Shabaab. Ushindi huo utaisaidia zaidi Somalia kufanikisha upatikanaji wa chakula, alisema.

Tamko hilo lilitolewa na ofisi ya Rawlings siku ya Jumatatu, alisema mjumbe huyo alipokuwa akitoa maoni yake katika mkutano uliofanyika nchi ya Jamhuri ya Kiarabu siku ya Jumapili.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, unadhania kupigwa marufuku kwa hotuba ya chuki na Tanzania kutakomesha mashambulizi dhidi ya makanisa na misikiti?

Angalia matokeo