Polisi wa Kenya wamemkamata ofisa kwa madai ya kujihusisha na al-Shabaab

Februari 03, 2012

  • + Toa maoni sasa
  • Chapisha
  • Panga upya Punguza Ongeza

Polisi wa Kenya walimkamata ofisa wa polisi wa utawala wa zamani huko Garissa kwa madai ya kutoa mafunzo kwa askari wapya walioandikishwa wa al-Shabaab na kuratibu mashambulio nchini Kenya, polisi walisema Jumanne (tarehe 2 Febuari).

Ofisa huyo alikamatwa Jumatano baada ya wazazi kumwokoa mtoto wao wa kiume mwenye umri wa miaka 14, ambaye ofisa huyo alidaiwa kumpa mafunzo ya kutumia vifaa vya mlipuko.

“Mtu huyo bado anahojiwa...hatuna la kusema zaidi kwa sasa,” Mkuu wa Polisi wa Jimbo la Kaskazini Mashariki Leo Nyongesa alisema, hii ni kwa mujibu wa habari za Capital FM ya Kenya.

Unaonaje kuhusu makala hii? (Jumla ya Kura 0)

Dislike_icon(0)

(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji

Habari Mpya kabisa

Katika Mwangaza

Jisajili

Kura

Je, katiba ya Kenya inapaswa kurekebishwa ili kulipa baraza jipya la Seneti madaraka zaidi?

Angalia matokeo