Februari 03, 2012
Kitengo cha Umoja wa Mataifa cha Uchambuzi wa Lishe cha Usalama wa Chakula nchini Somalia kilisema Ijumaa (tarehe 3 Febuari) kuwa njaa nchini Somalia imekwisha, lakini karibu moja ya tatu ya watu bado wanahitaji msaada wa dharura.
“Muunganiko wa kuongezeka sana kwa msaada wa kibinadamu na mavuno yasiyo ya kawaida vimesaidia kuboresha hali ya kibinadamu,” shirika hilo lilisema. Shebelle ya katikati, Afgoye na makambi ya watu wasio na makazi mjini Mogadishu ndizo zilizokuwa kanda za mwisho zenye njaa nchini Somalia, lakini "kwa sasa wameboresha kiwango cha dharura”.
“Mafanikio hayo si imara na linaweza kurudiwa pasipo msaada endelevu,” alisema Mark Bowden Mratibu wa Ubinadamu wa Umoja wa Mataifa kwa ajili ya Somalia.
Shirika hilo lilisema kuwa watu milioni 2.34 wamebakia katika migogoro, hususani katika mikoa ya kusini ambapo ufikaji umeendelea kuwa na mipaka kutokana na al-Shabaab kudhibiti eneo hilo.
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
Sampuli ya DNA iliyochukuliwa kwenye mswaki uliokuwemo kwenye begi lililokuwa na risasi lililopat...
Wakenya kumi na wasaba wameshtakiwa kwa kuvunja amani, kufanya ghasia na ukatili dhidi ya wanyama...
Al-Shabaab imedai kuhusika na urushwaji wa makombora kwenye kasri ya rais mjini Mogadishu siku ya...
Wanajeshi wa Uganda wa Kikosi Namba 9+ wanarudi nyumbani baada ya kukamilisha miezi 13 ya ziara y...
Kikosi cha polisi cha Kenya kitaanza uhakiki wa kina wa maofisa mwezi ujao, kikianza na kusaili w...
Ujambazi ulizuiwa katika ofisi za usalama za Wells Fargo huko Mombasa ulisababisha kifo cha watu ...
Rais wa Ghana John Dramani Mahama aliahidi msaada wa nchi yake katika kipindi cha ujenzi mpya wa ...
Polisi nchini Tanzania walimkamata mbunge wa Iringa Mjini, Peter Msingwa, na wafanyabiashara 60 k...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji