Januari 06, 2012
Chama cha walimu Tanzania (TTU) kimefuta mgomo wake Jumatano (tarehe 4 Januari) baada ya Serikali kulipa malimbikizo ya zaidi ya dola za Kimarekani milioni 14, rais wa chama hicho aliwaambia waandishi wa habari.
Chama kimepokea taarifa za uhakika wa malipo ya fedha na kusambazwa kwa marupurupu ya walimu yasiyohusiana na mshahara kupitia Halmashauri zao za Wilaya na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ifikapo tarehe 15 Januari, alisema rais wa TTU Gratian Mukoba.
Mukoba alisema "mtazamo chanya" wa serikali umemaanisha waalimu wanapaswa kuwa madarasani ifikapo Jumatatu, gazeti la The Citizen la Tanzania liliripoti.
Aidha, TTU kilimwomba Rais Jakaya Kikwete kujadiliana na chama kuhusu mchakato wa malipo ili kuhakikisha kwamba hakuna makosa yoyote yatakayotokea, Mukoba alisema.
Polisi waliwakamata mamia ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa al-Shabaab katika wilaya za Hod...
Kongamano la siku tatu juu ya elimu lilifunguliwa mjini Mogadishu siku ya Jumanne (tarehe 18 Juni...
Wanajeshi wa serikali ya Somalia wakisaidiwa na wanajeshi wa Misheni wa Umoja wa Mataifa (AMISOM)...
Waziri wa Mambo ya Ndani na Uratibu wa Serikali ya Kitaifa, Joseph Ole Lenku, siku ya Jumatatu (t...
Moto kwenye soko kubwa la Garissa uliharibu zaidi ya maduka 100 usiku wa Jumatatu (tarehe 17 Juni...
Waziri wa Umoja wa Kitaifa wa Djibouti Zahra Youssouf Kayad alisaini mikataba ya miradi miwili ye...
Kamati ya bajeti ya Bunge ya Kenya imekataa pendekezo la kununua ofisi mpya kwa aliyekuwa Rais Mw...
Moto ulifanya uharibifu mkubwa katika mji wa Balbala huko Djibouti siku ya Jumapili (tarehe 16 Ju...
Picha ambazo al-Shabaab ilizituma siku za Jumapili (tarehe 16 Juni) kwenye mtandao wa Twitter za ...
Polisi nchini Kenya walimuua mtuhumiwa wa ugaidi, Kassim Omolo Otemo, mjini Mombasa wakati uvamiz...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji