Juni 04, 2012
Upotevu wa kijeshi na tofauti za kiitikadi zimeharakisha baadhi ya viongozi wa al-Shabaab kujadili namna ya kuondoka katika kikundi na kujiunga na mchakato wa kisiasa nchini Somalia na kuachana na mbinu za vurugu za al-Shabaab, kamanda mkuu wa al-Shabaab aliiambia Sabahi.
Wakati majeshi ya AMISOM na Somalia wanaziteka kambi imara na kushambulia kutoka pande kadhaa, wanachama wa al-Shabaab wamekubwa na migogoro mikubwa ya ndani, makamanda huyo, ambaye hakutaka jina lake litajwe, alisema.
Kikundi cha safu ya juu cha makamanda wa al-Shabaab hivi sasa wanakutana katika kijiji cha Jaanale huko Shabelle ya Chini ili kuuandaa kikundi kipya kilichojitenga kwa msaada wa baadhi ya makabila ya Somalia, kikiwa na lengo la kuanza mazungumzo ya kisiasa na maafisa wa serikali ya Somalia baada tarehe ya mwisho Agosti ya kumalizika kwa utawala wa mpito.
Viongozi hao wanaopinga ni pamoja na Sheikh Hassan Dahir Aweys, ambaye karibuni alitoa taarifa ya kuwalaumu viongozi wengine wa al-Shabaab kwa kumwaga damu ya Waislamu na kuua raia wasiokuwa na hatia kwa jina la Uislamu.
Wengine ni pamoja na Sheikh Mukhtar Robow Ali, anayejulikana kama Abu Mansur; Sheikh Mohammed Ibrahim, anayejulikana kama Bilal; Sheikh Hassan Yaqub, mdhamini wa mji wa Kismayo, ambao vikosi vya AMISOM vinasema itaanguka ndani ya wiki zijazo.
Makamanda wengine wa kanda wa al-Shabaab wanaokutana huko Jaanal ni pamoja na: Sheikh Yusuf Isse, anayejulikana kama Kaba-kutukade na mdhamini wa Shabelle ya Kati; Sheikh Mohammed Abdullahi Hirey, anayejulikana kama Sheikh Mohammed Abu Abdalla, mwenye dhamana ya Shabelle ya Chini; Sheikh Yusuf Ali Ugaas kutoka Hiran; Sheikh Ali Mohammed Hussein, kiongozi wa zamani wa al-Shabaab mjini Mogadishu; na Sheikh Abdifatah Mohammed Ali, muweka hazina wa zamani wa Hizbul Islam iliyovunjika.
Makamanda kwa sasa wanamalizia msimamo rasmi wa ushirikiano huo mpya, ambao watautangaza ndani ya wiki chache, kamanda huo wa al-Shabaab alisema.
Alisema kuwa mkutano mwingine unaendelea huko Barawe, Shabelle ya Chini, miongoni mwa viongozi wa al-Shabaab wenye msimao mkali zaidi. Hawa ni pamoja na: Ahmed Abdi Godane, anayejulikana kama Sheikh Mukhtar Abdirahman Abu al-Zubair, emir wa al-Shabaab; naibu wake, Mahad Warsame Qaleey, anayejulikana pia kama Mahad Karateey; Sheikh Fuad Mohammed Khalaf, anayejulikana kama Fuad Shongole, mdhamini wa ushauri na propaganda; Sheikh Hussein Ali Fiidow, mdhamini wa sera na masuala ya kikanda; Sheikh Ali Mahamoud Rage, anayejuliakana kama Ali Dheere, msemaji mkuu wa kikundi; Sheikh Abdiazziz Abu Musa'ab, msemaji wa kijeshi; and Sheikh Mohammed Hassan Omar, anayejulikana kama Mohammed Abu Abdirahman, ambaye ni kamanda wa Mogadishu.
"Ahmed Godane amekuwa akidharau wito wa kumtaka kuachia ngazi kama kiongozi wa kikundi, kama alivyodai kuwa emir huacha nafasi yake kwa kufa tu, lakini hawezi kujiuzulu,au kulazimishwa kujitoa,” kamanda huyo aliiambia Sabahi. “Hili limepelekea kuweko kwa uasi. Amri zilizotolewa kwa viongozi wetu wawili, Mukhtar Robow na Hassan Dahir, ni kuwamaliza baadhi ya wapiganaji wa kigeni katika kikundi wanaoshutumiwa kwa kufanya ujasusi zilipuuzwa.”
Mwezi Aprili, ripoti ziliibuka kuwa al-Shabaab walimuua mwanajihadi aliyezaliwa Marekani Omar Hammami, anayejulikana kama Abu Mansoor al-Amriki, kutokana na amri kutoka Godane. Ingawaje iliripotiwa kuwa Hammami alionekana yuko hai, al-Shabaab hawakutoa maelezo kuhusu hali yake, kitu kilichochea ripoti za mpasuko mubwa ndani ya kikundi.
Ushirikiano wa al-Shabaab na al-Qaeda pia ulizua upinzani miongoni mwa viongozi wa al-Shabaab, kamanda alisema.
"Pia tulikataa kuwateua wageni kuwa viongozi wakuu, kuunganisha al-Shabaab na al-Qaeda, na kuua watu wasio na hatia bila sababu yoyote ya haki,” alisema. "Tulipinga mashambulizi ya kujitoa muhanga na kuwalenga wananchi na wafanyakazi wa misaada.”
Jeneralil Abdullahi Ali Agey, kamanda wa kikosi cha pili cha jeshi la Somalia, alisema wanachama wa al-Shabaab wanaogopa hatima isiyojulikana kwa sababu wanahisi mabadiliko makubwa ya kuirejesha serikali na kuimarisha jeshi na taasisi za usalama kutokana na Mpango Mkuu.
Kijeshi, kikundi washirika wa al-Qaeda kinakabiliwa na mzozo mkubwa baada ya kuipoteza Afgoye na vitongoji vyake, na inaonekana kuwa kiko katika ukingo wa kuipoteza bandari ya Kismayo, ambayo ni kitovu cha kifedha.
Agey alisema jeshi la Somalia, kwa msaada kutoka vikosi vya Afrika, vitaendesha mashambulizi ya hali ya juu katika wiki zijazo katika jaribio la kuwazuia viongozi wa al-Shabaab.
Al-Qaeda wanakabiliwa na vipingamizi vingi. Karibuni tulimudu kupata mafanikio kwa sababu tuliingia katika ngome zao imara na hakuweza kutuzuia,” aliiambia Sabahi. "Tulielewa wazi juu ya mgawanyiko wao mkubwa ndani ya kikundi chenye siasa kali na karibuni tutaweza kuiteka miji iliyoko katika udhibiti wao."
Agey alisema, wanachama wa al-Shabaab wanakimbilia Milima ya Golis na kusini mwa Yemen.
Alisema al-Shabaab iko katika hali mbaya na kikundi kinachokufa, kama ambavyo baadhi ya wanachama wake wameelezea kutoridhika kwao na utendaji wa kikundi.
Operesheni za pamoja baina ya jeshi la Somalia na AMISOM karibuni wameongeza mashambulizi Somalia kote, na kupelekea kwa vifo na majeruhi kwa wapiganaji wengi kutoka kwa kikundi chenye mafungamano na al-Qaeda.
Jenerali Abdi Mahdi Abdisalam, kamanda wa operesheni katika eneo la Juba ya Chini, alisema kuwa al-Shabaab wanawasiwasi kuhusu ushindi wa vikosi vya serikali katika majimbo ya Shabelle ya Chini na Juba ya Chini.
“Vikosi vyetu vinasonga mbele na vitaendelea uwanjani ili kukamata vikosi vyao katika eneo la Shabelle ya Chini mpaka pale tutakapoweza kusonga mbele hadi Kismayo,” alisema katika mahojiano kwa njia ya simu kutoka mji wa Afmadow uliokombolewa hivi karibuni. “Karibuni tutaibuka washindi. Hii ni kwa sababu [al-Shabaab] wanaelekea kuporomoka kifedha, kwa vile wameshakausha hazina na nyenzo zao zote, bila ya kutaja upungufu wa silaha ambao umeweka vikwazo katika ulinzi na kutokuwepo kwa maeneo salama ambayo wanaweza kuelekea.”
Serikali ya Somalia hivi karibuni ilitangaza kwamba itatoa kiasi ifikapo cha dola 500 kwa wananchi watakaokuja na habari zitakazopelekea kukamatwa kwa wanachama wa al-Shabaab. Baadhi ya viongozi wa zamani wa al-Shabaab wametangaza nia yao ya kulaani na kuachana na kikundi, na waliomba msamaha kutoka kwa watu wa Somali.
Wabunge wameondoa hoja yao inayomtaka Waziri Mkuu Abdi Farah Shirdon na baraza lake la mawaziri k...
Rais Ahmed Silanyo wa mkoa wa Somaliland alikutana na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Ulaya kwa Som...
Ukiritimba na ukosefu wa ufanisi katika bandari ya Dar es Salaam unaigharimu Tanzania na nchi jir...
Viongozi wa mkoa wa Puntland walikutana siku ya Jumanne (tarehe 21 Mei) kuwashajiisha wanawake ku...
Wanajeshi wa Somalia na wa Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) waliwakamata zaidi ...
Rais Ismail Omar Guelleh wa Djibouti alijadiliana ushirikiano wa kimkakati na Kanali Saleh Ben Na...
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta, vikosi vya usalama na mahakama vinapaswa kuomba radhi hadharani kut...
Waziri Mkuu wa Djibouti Abdoulkader Kamil Mohamed alitoa wito wa kuongezwa kwa ushirikiano katika...
Baadhi ya wabunge wa Somalia wameitupilia mbali hoja ya kumtaka waziri mkuu na baraza lake la maw...
Wabunge wa upinzani walidai kwamba serikali ya Tanzania imekuwa ikibana uhuru wa kujieleza na kud...
(Sera za kutoa Maoni) *Inaonesha Maeneo yanayohitaji
Maoni ya msomaji
Inafurahisha sana wakati mtu anaposimama na kunyanyua mkono ili kupigana kwa jina la Mungu. Mungu mwenyewe anaweza kumpiga binadamu na mashetani waovu pekee bila ya msaada wa mkono wowote. Watu wanaoishi wengine kwa jina la dini, Mungu n.k., ni wauwaji tu, watoto wa baba yao shetani. Amekuwa muuaji miaka yote, watu hawa wanafanya kile walichoona. kusikia na kufuata anachofanya baba yao Ibilisi. Kuweni watu wazuri wanaopenda watu, na mapatano yatakuwepo siku zote kwa kila mtu.
Inahuzunisha kuwa maisha ya wengi yamepotea katika vita hivi kwa jina la Mungu. Suala ambalo al-Shabaab wanapaswa kujiuliza wenyewe - Mungu anakataza vita kwa wasiokuwa Waislamu? Suala ni kuwa HAPANA. Ambacho al-Shabaab wangepaswa kufanya ni kujaribu kuziteka nafsi za watu kupitia mahubri na hatua nyingine za amani. Kuwashambulia watoto wasio na hatia, wanawake na wanaume hakusaidii kwa njia yoyote. Viongozi wangeongozwa na ajenda ya kisiasa na sio ya kidini. Al-Shabaab wamekuwa wakipewa tawi la mzaituni mara nyingi ili kwenda katika meza ya mazungumzo kujadili njia ya kumaliza mgogoro huu lakini wamekuwa wakisisitiza kuwa njia ni moja tu - kutoa maisha ya watu wasio na hatia. Aib iwafikie wale wanaotumia dini ili kuwaandama wengine na kushambulia watu wasio na hatika katika makanisa na misikiti.
Timbukti...Ninapenda sababu zako, angalau uko peke yako katika ulimwengu wako. Ulimwengu unabadilika, vita na kutovuliana hata kidogo kwa yeyote isipokuwa wewe tu mwenye amani. Ninakubaliana nawe, kuwa al-Shabaab wataibuka washindi, ikiwa miujiza hiyo itatokea.
nice makala......give up kwa alshabab
Al-shabaab kuisha (kukomeshwa) kabisa ni vigumu kwa mtazamo wangu isipokuwa wanaweza kupunguzwa nguvu. Hivyo mashambulizi ya kuvizia yatabaki palepale japo kwa idadi ndogo. Hata hivyo hatua na mbinu zaidi za kukabiliana nao zinapaswa kuongezeka kuwapunguza makali yao.
hongereni kenya,hivi hao alshabab wako wengi kiasi gani mpaka washindikane,na nianshauri AU kama hawawezi kuwamaliza hao jamaa wajiuzulu sbb kikundi kichache hakiwezi kuwa umiza innocent wa mwenyezi mungu,
Hii ni habari nzuri. Watu wa Somalia lazima wasaidie kufahamu kwa amani ni kitu kizuri na cha lazima kwa maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa kwa nchi yoyote kwa hivyo wahali wasichukue fursa na kuwababaisha watu kuwa al-Shabaab kwa njia yoyote wanaulinda Uislamu kama dini. Dini gani inayoruhusu mauaji yasiyokuwa ya kisheria ya binadamu wenzao? Iwe ni Ukristo, Uislamu, Ubudha, Uhindi n.k., mauaji ni haramu kwa hivyo chanzo hicho cha al-Shabaab hakuna msingi.
Mimi kama muislamu nakataa kabisa kukubaliana na propaganda na wala siamini vyombo vyote vya habari ambavyo vimewekwa kwa maslahi ya kimagharibu ninachojua ni kuwa wasio waislam hususan wa magharibui wamekuwa wakitafuta namna ya kumtukana mtume S.A.W na sisi waislam namna ya kutuita majina mabaya na kutuua. lakini katka waislam kuna kundi limetekwa nao linaangalia dunia zaidi na kukubali maneno ya maadui wa Allah. nina wasiwasi na wala siamini kuwa Alshabab sifa wanazopewa na vyombo hivyo ni za kweli. na sito badili mwelekeo wangu bali nampenda Allah na mtume wake na sijipendekezi kwa ulimwengu na kama mkitaka niueni lakini mimi sitakuwa na makundi ambayo ni maadui wa Allah na mtume wake na nawajua ni waongo na wameteka vyombo vingi na hata mashekhe wengine pia. bora nife na mimi mniite Alqaaida mniue lakini sitokubali kumsaliti Allah na mtume kwa propaganda na sijapata chombo cha kukiamini cha habari. nami nitakuwa kwenye ulimwengu wa namna hii hadi Allah aniondoshee na fitna za dunia kwa kifo.
makafri wote washindwe hakika ni vichekesho sana mfumo wa kipumbavu wa kidemocrassia kibepari una upumbavu wa hali ya juu kwani una somesha uzalendo lakini watu watakapo amua kujitawala wenyewe mbwa hawa wa kizungu kupitia paka wao wa afrika huwa hawakubali sasa nini maan aya uzalendo kwa watu a somali? si waachwe wenyewe waamue wakitakacho? lakini bado kuna watu afrika wanawaunga mkono nguruwe hawa wazungu na sana chuki za kidini juu ya uislamu. kwa taarifa yao upo karibuni kurudi hadhi yake kama mfumo kamili wa maisha ya binadamu
Somalia ni uwanja wa kupigana maisha, hakutakuwa na amani hata pale majeshi ya AMISOM yatakaposhinda. Ni wajibu wa kila Muislamu kumlinda Muislamu mwengine. Wale wanaowasaliti Waislamu ni wanafiki. ABCDEFGHIJKLMNOP QR STUVWXYZ. Bila ya shaka al-Shabaab wataibuka washindi
Kuzungumza na wauwaji ni hatari kuliko kuwaua kwanza baadaye mazungumzo yaje miongoni mwa raia wengine. Al-Shabaab lazima watokomezwa kwanza kbla ya kitu chochote!
Al Shabab ni lazima wateketezwe kwa vile ni wauaji. Ninawakaribisha wenye mawazo na mtazamo mpya wa kuwa wanasiasa na kuacha sera za vurugu kwaani huua wasio na hatia. Jumuia ya kimataifa hima tuunge mkono juhudi za jeshi la AMISOM na la Somalia
waweke silaha chini
Mtu yeyote upenda amani uchukia maovu,na ulimwenguni kote hakuna dini inayokubali kumwaga damu ya binadamu mwingine.Watu wa haina hii wamelaaniwa. mungu alituumba hili tuweze kuishi kama watoto wa nyumba moja wanaopendana. Hatuwezi kuishi kwa silaha wala hakuna jambo lolote laweza kujadiliwa na mtu mwahalifu. Wakristo na Waislamu sharti wapendane kwa sababu mungu huyo tunamwabudu ni huyo aliyetuumba sisi wote. wana wa al-shabaab ni watoto wetu na ningependa wawe wa kwanza kuifadhi amani katika bara letu wa afrika. Wasidie wasi wale wote wanaohitaji kusaidiwa kwa njia ya kuishi vyema,watoto,wakinamama na wazee wakongwe, hili wazeeke kwa njia inayo stahili kama hilivyo mpango wa mungu. Si kuwangaishwa na kubumburushwa kwenye makaazi mwao.
Somalia haitakuwa salama mpaka Al-Shabab wameuliwa na kuondoka! Wanazuia maendeleo kabisa katika Afrika ya Mashariki na Kati, na mbaya zaidi wanachafua jina zuri la Waislamu kama watu wanaounga mkono ugaidi ambapo si mara zote ndio hivyo. AMISON watoeni nje kabisa. KDF kazi nzuri na rehema za Mungu Mwenyezi ziwe pamoja nanyi nyote.
Ninachoweza kusema ni kuwa hata kama tutaendelea kuwasifu watu wetu walioko mstari wa mbele, pia tunapaswa kufikiria juu ya Wasomali wasio na hatia wanaoteseka na vizazi vyao vijavyo kwa sababu itawachukua karne nyingi kujenga magofu. Ninaweza kutetea vitu vitatu tu hata kama haitaonekana ni jambo la kawaida - mazungumzo, maelewano na maingiliano, Somalia pia inastahiki amani.
Watu wa Somalia wanahitaji amani kwa hivyo wafadhili wa al-Shabaab walipo popote lazima waelewe kuwa kuua watu wasio na hatia kwa jina la kupigana hakuhalalishwi. Bandari ya Kismayo lazima itekwe haraka sana ili kuzuia fedha kwa kikundi hiki kutokana na uharamia. Na kumbukeni kuwa suala hili si la vita vya Wakristo dhidi ya Waislamu, hivi ni vita vya kuwapatia watu wa Somalia jamii yenye amani kama unavyoishi ulimwengu wote. Ipeni amani fursa kwa kuwaondosha al-Shabaab kati kati. Mmeshateseka vya kutosha.
Nahisi ni sawa kwa vita kumalizwa na kuacha kikundi chote kinachojiita al-Shabaab kuuliwa moja kwa moja.
Heshima kwa askari shupavu wa Somalia. Al-Shabaab wamekwisha.
Unahisi vipi wakati watu zaidi ya milioni moja wanaishi kama wakimbizi, watoto na wanawake wanakabiliwa na njaa na kuteseka bila ya maji wala hatima? Hii inaingia akilini kuwa Mungu anawapenda watu hawa? Kenya imewapokea wakimbizi zaidi ya miaka 20. Tunawataka Wasomali kuamka na kufanya biashara katika jumuiya ya Afrika ya Mashariki. Mungu anakuruhusu uwaue watoto wake ili kuokoa dini yenu? Acheni amani ya Mungu itawale Somalia. Ikiwa Somalia itasimama yenyewe maendeleo yatakuwa ya uhakika, Hawa vijana wa Somalia lazima wapewe haki ya kushiriki katika maendeleo ya Somalia na sio wapotee katika kambi za wakimbizi. Hii ni aibu kubwa kwa Afrika na kwa viongozi wa Afrika. Amkeni na tuiokoe Somalia!!Ama kupitia mazungumzo au bunduki au vyote, Somalia lazima iokolewe. Inatosha vita hivi vya kipuuzi. Inatosha!!
Kwa nini popote pale palipo na Waislamu lazima pawe na matatizo?
WAPENDA AMANI WOTE DUNIANI HASA WA BALA HILI LA AFRIKA NA VIONGOZI WAKE KUWAPA NGUVU NA KILA MSAADA KWA JESHI LA NDUGU ZENGU LA KENYA KATIKA KUPAMBANA NA HAO MAHAYAWANI YANAYO DHURUMU ROHO ZA NDUGU ZETU NA KUTISHIA AMANI YA BARA LETU LA AFRIKA,NA WATU WOTE WANAOISHI PEMBEZONI MWA BAHARI YA HINDI TUNAOMBA MTOE USHIRIKIANO KWA VYOMBO VYETU VYA USALAMA PINDI WAONAPO MATUKIO AMBAYO SIYO YA KAWAIDA,WANANCHI NA ASKARI WOTE AFRIKA NA TUWE NA NGUVU YA PAMOJA KATIKA KUTOKOMEZA UGAIDI HUU WA ELSHABAB .TUWEKE NGUVU YA PAMOJA.
Osama bin Laden anaonekana kama ndie alianzisha moja ya kikundi hatari sana cha ugaidi ulimwenguni na kuwapa itikadi hatari sana. Bin Laden aliuliwa mwaka jana 2011 na hii inaweza kusababisha mwisho wa kikundi alichounda, Kifo kinaweza pia kuwa onyo kwa magaidi wengine ambao mwisho watakufa kwa vitendo vyao vya uhalifu. Lazima wajuwe kuwa watasakwa kama alivyosakwa yeye.Umuhimu mwingine wa Kifo pia kitasaidia kukionesha kikundi kuwa kiongozi wao amekufa kwa hivyo hakuna haja ya kupigana tena, Katika vikundi vingi anapokufa kiongozi wao kikundi kinasambaratika na kuna dalili kuwa kikundi kinawapoteza viongozi na umaarufu wao huko Mashariki ya Kati. Kifo cha bin Laden iwe sababu kwao kuachana na vita visivyo na maana.
Kila siku tunasikiliza redio na kusoma magazeti juu ya ukatili unaofanywa na al-Shabaab katika nchi za Afrika ya mashariki yote na hivi sivyo. Wanaendesha vita dhidi ya serikali ya shirikisho lakini katika vita wanawahusisha raia wasio na hatia. Inasikitisha kuwa damu isiyo na hatia inamwagwa kwa sababu zisizojulikana. Sehemu kubwa zaidi ya maangamizi ni kuwa watoto wadogo wanakoseshwa elimu na kulazimishwa kupigana vita ambavyo hata hawavielewi. Wanawake wanaachwa wajane ambao wengi wao huteseka karibu ya kufa. Mashambulizi haya ya kigaidi ya al-Shabaab yanasababisha ugumu zaidi kwa mashirika ya misaada ya kimataifa kufika maeneo yaliyoathiriwa zaidi na vita, njaa na magonjwa. Mashambulizi haya ya kigaidi yanaua uchumi wa Somalia ambao tayari unapambana na lazima yasitishwe bila ya masharti.
Kamwe msijadiliane na MAGAIDI! Wauweni wote kwa ajili ya hatima yenu.
Sidhani kama Mwenyezi Mungu angetaka mtu yeyote atoe maisha ya mtu mwingine. Wauwaji hawa wanaokatisha maisha ya watu wasio na hatia kwa jina la JIHADI lazima wafikirie sana juu ya kile wanachofanya. Wanataka wajifaidishe wao kwa jina la dini. Wanafiki wako namna hiyo…na kwa vijana ambao wanalaghaiwa ili wajiunge na vikundi kama hivyo vyenye msimamo mkali mnapaswa kufikiri kabla ya kufaya hivyo kwani mnatumiwa tu. Daima kumbukeni kuwa KUUA NDIO JAMBO BAYA ZAIDI DUNIANI: MWENYEZI MUNGU ATAWAADHIBU WALE WANAOUA NA HAWAZAWADIWI KAMA MNAVYOLISHWA KASUMBA. MUNGU AJALIE WATU WA SOMALIA WAPATE AMANI!! NA KWA PANYA WOTE WALIOOZA WA AL-QAEDA NA AL-SHABAAB WAINGIE JEHANAMU!!
Amani ni kitu muhimu sana kwa Wasomali wote, kwa sababu bila ya hiyo hakuna hatima. Demokrasia imetawala ulimwenguni na itakuwa vigumu kwa watu wenye siasa kali kuweza kuishi. Watu wote wana haki ya kuishi na kufurahia maisha. Si haki kwa mtu yeyote au kikundi kuamua visivyo halali majaliwa ya binadamu wengine katika jamii. Mbele ya Mwenyezi Mungu sote ni sawa. Kuna mwangaza mwisho wa shimo kwa ajili ya Somalia na kila siku huwa ninawaombea. Kwa hakika mara hii litakuja kupita. Hongera watu wa Somalia, kuweni imara, ardhi mliyoahidiwa ipo nyuma ya kipembe.
Wapendwawasomali,na alshabab,acheni vita nchi yenu mnaivunjavunja bila huruma, mtamtawala nani wakati watu wanateketea,watu hawana maendeleo kisa vita vya kikabila ugomvi huu ni faida ya nani ikiwa mnaowataka ili muwatawale ndiyo wanaokufa na wengi wanabaki kuwa walemavu? nini kinachotakiwa hasa? nchi,mali,mafuta,nini?! muogopeni M/Mungu, anajua dhamira zenu nchi gani utulivu hakuna,kila siku bunduki inasikika masikioni mwa watoto na wazee siyo sawa. Dunia imechoka kusikia ugomvi wenu usiyoisha kwa sasa haijulikani iwapo Wasomali ni walewale wa kale wenye dini moja au wa sasa wamo na wengine matwagh'ut. kama nyinyi ni wamoja rudini kwenye sunna na Qur-an ya Mungu mtatue mapingamizi yenu na mikwamo inayowasumbua huu ndiyo wosia wangu kwenu,inasikitisha kupita kiasi acheni bunduki,mushike jembe,shikeni fimbo zenu kama asili yenu. mlifahamika vyema afrika ya mashariki kwa kuwa madereva hodari, wasiyochoka watafuna miraa,watembea na misala juu ya malori nini kimewafika, balaa na sheitwani amewazonga.historia ya sumali na sana'a ya Yaman,ilikuwa biashara ya kondoo na mbuzi waliyonona wakichinjwa hadi msimu wa hijja kule Makka lakini wapi sasa hakuna tena. jirekebisheni, wazee wa kimila mko wapi?jadi ya somalia iko wapi? hamjachelewa kila kitu kina mwanzo na nyinyi anzeni upya jitakase ni. mimi ndugu yenu. Bashir O.m Kashangaki Dar-Es-Slaam,Tanzania Wasalaam
Al-Shabaab lazima washindwe. Watu wenye misimamo mikali wako katika harakati za kupoteza nyenzo na wakati badala ya kujishughulisha na kitu chenye manufaa zaidi ili kujenga nchi iliyoharibiwa na vita katika taifa la Somalia lenye maendeleo na matarajio.
Wakati umefika kwa serikali na al-Shabaab wenye silaha kukaa mezani na kuzungumza. Bunduki si suluhisho pekee la amani.
Wanachama wa al-Shabaab wasiruhusiwe kubadili upande sasa ambapo kushindwa kwao ni dhahiri. Walikuwa na wakati wa kuachana na kikundi chao lakini hawakufanya hivyo, mpaka wanakabiliwa na kuporomoka wazi wazi. Itawabidi walipe kwa ukatili wao kwa ICC au hata katika mahakama za kwao. KDF ni sababu yenye nguvu pamoja na AMISOM na tunawathamini kwa kumkamata nyati mapembe. Heshima kwa askari wetu. Wasomali wasiwaruhusu al-Shabaab kuiaibisha dini yao. Amani sasa ipo upeo wa macho.
Amani iwe juu yenu. Huo ndio ukweli.
Maombi yangu kwa MUNGU ni kuwapa wao na sisi amani katika taifa letu. Kenya ni nchi ya amani na tuombe amani idumu daima.
NINAWEZA KUSAIDA KUPIANA; NIPENI SILAHA NA NITASAIDIA KUPAMBANA NA UGAIDI WA DUNIA NDIO, NAHITAJI BUNDUKI
Amani iwe juu yenu [assalam alaykum]
bora wavunjike tu.
SIFIKIRII KAMA AL-SHABAAB WAPO KWA AJILI YA AMANI NCHINI SOMALIA. WANAJIDAI KUWA NYUMA YA VITA VITAKATIFU. UTAKATIFU GANI HUO WAKATI WANA UROHO WA DAMU YA BINADAMU? AIBU IWE JUU YAO. TANGU MWAKA 1991 SOMALIA IMEKUWEMO KATIKA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE NA BADO ASILIMIA 95 YA WASOMALI NI WAISLAMU. WANAPIGANA VITA VYA VITAKATIFU AMBAVYO WAISLAMU WENGINE HAWAVIFAHAMU? KUMWAGA DAMU ISIYO HATI KAMWE HAKUWEZI KUWA UTAKATIFU. NYINYI MNA UROHO WA DAMU YA WASIO NA HATIA. WANAWAKE NA WATOTO WA SOMALIA LAZIMA WAPATE AMANI NCHINI MWAO NA SIO WAWE WAKIMBIZI KATIKA NCHI YAO WENYEWE. AL-SHABAAB LAZIMA WATOKOMEE NA KUINGIA MOTONI.
Nashangaa lini vita dhidi ya al-Shabaab vilianza kuwa vita baina ya Wakristo na Waislamu? Nilidhani ni vita dhidi ya ukatili na ukiukwaji wa haki za bibadamu unaofanywa na kikundi cha ugaidi, na ulipuaji wote huo wa mabomu mjini Nairobi. Hiyo si sawa na kuua na kuudhuru ustaarabu? Hata Osama bin Laden alikuwa sahihi kukikatalia kikundi kisichojipanga cha gengi la wahalifu wa al-Shabaab.
Mchango wa jeshi la Kenya kusini ya Somalia haupewi umuhimu mkubwa. Mkakati wa jeshi la Kenya na mbinu zao ni tofauti sana na operesheni za Uganda na Burundi mjini Mogadishu na inawezekana, kwa makusudi, kuwa ni jukumu la kusonga mbele haraka kwa AMISOM kuelekea Kismayo. Operesheni dhidi ya al-Shabaab zilifikia kilele mara tu baada ya vikosi vya Kenya kuingia katika mgogoro na kushambulia kuzuia vyanzo vya fedha na sehemu za mikakati ya al-Shabaab kusini ya Somalia, ambapo bila wao kushindwa kwa al-Shabaab kama kikundi cha kijeshi na kisiasa kusingewezekana. David.
Kama wakenya tunaoamini Maulana tunajua kwamba maadui wa usalama SHARTI waangamie sababu kila mja anataka mahala palipo amani.Ndugu zetu wa Somalia tutawasaidia tuwezapo kuona kua hao maadui wameisha.Yote tutaweza kwa imani.
Hio sio kweli hizi ni habari za kupikwa. Ingelikua ni ukweli nani asingejua tokea awali, wakati Al-Shabaab walikwisha sema hawako tayari kwa mazungumzo yoyote na wanao wadhania kuwa makafiri tena maadui wao wakubwa kama wamarekami na wengineo wengi
Tunataka amani nchini Somalia ili askari wetu waweze kurejea nchini kwetu.
Ni poa na nzuri. Mimi ni Muislamu lakini kikundi hiki kimetutesa kwa kweli kiasi kwamba tulikuwa hata tunajiapiza kuzaliwa katika nchi hizi na dini hii. Sasa tumefurahi, tufanye nchi yetu isimame na kufanya biashara, tusaidie nchi yetu na familia zetu. Kenya ni mojawapo ya nchi ambazo ningependelea kuishi na familia yangu. Ninawaomba katika uchaguzi ujao uwe na amani kuchagua mtu anayeabudu na kumwogopa Mungu. Ninaweza kusema kuwa Waziri Mkuu Raila ni mtu mzuri, asiye na ukabila na mtu mwazi anayeelekeza katika nchi yake na Afrika. Alisimamia kesi ya Ggabbo ambapo viongozi wengine walishindwa.
Al-Shabaab wote wauliwe kama Saddam Hussein – Amin.
Kuwepo na amani nchini Somalia ndio ombi letu. Watoto wa Somalia lazima wakue katika mazingira ya amani, waende shule, waabudu na kuwapatia mahitaji yote ya kijamii katika mazingira ya amani bila ya woga. Watoto wana haki ya kuishi waliyopewa na Mungu, haki ya elimu, afya, makazi, kusali na kuabudu na uhuru bila ya njaa. Mungu ibariki Somalia na watu wake.
alshabaab wanataka nn exactly? nadhan aman ni bora kuliko shari. wanatakiw kuacha matukio hayo na kumrudia Mungu wa kweli, otherwise wakomeshwe
Mungu awajalie amani watu wa Somalia waijenge nchi yao.
Muda umefika sasa wa kuwaondoa alshabab kwasababu wakati wao umekwisha na wasomali hawataki vita tena bali wanahitaji amani na kuijenga Somalia mpya isiuokuwa na umwagaji damu.
NINAPENDA MAENDELEO YA ASKARI WETU LAKINI TUNATAKA HAWA AL-NINI HII WASAFISHWE MARA MOJA NA MOJA KWA MOJA.
Nafikiri sote tungejua zaidi kuhusu majaliwa yetu. Kila mtu awe mwangalifu na adui na tusijaribu kuwapa fursa kwa sababu mara tu watakapoingia ndani tukabiliwa na matokeo yake yote. Tuelewe na kujifunza njia zao ili tuweze kupambana nao.
Wasomali ni watu wazuri na vita baina ya al-Shabaab na AMISOM ni vita vizuri ili Somalia iweze kuwa na utulivu. Unganeni Waafrika wote.
Ninamuomba Mungu ili Somalia ipate amani. Naamini sasa kuwa kama kuna chochote kile ambacho Somalia inahitaji, basi ni amani. Na itakapokuja, naamini kuwa wananchi wa Somalia wataifurahia kuliko kitu chochote. Baada ya KDF na AMISOM kuondoka, watu wa Somalia wanapaswa kuanzisha vita vya kudumu dhidi ya mabaki ya mujahidina wa al-Shabaab. Watu hawa wanaamini kuwa serikali ya sasa inatawaliwa na makafiri wengi kwa hivyo wanapigana ili kuimaliza.
Somalia kihistoria na kiutamaduni ni kwa ajili ya Wasomali, yeyote yule anayetuvamia iwe ni Wakristo wanaojificha au adui mwengine yeyote, ninamwambia, "hapa hakuna nafasi kwa ajili yako". Jengine, ikiwa Waislamu wanaua Waislamu wao wasio na hatia, mngejua kuwa Wamarekani na wamagharibi ambao kwa jumla ni Wakristo, na wao wanaua pia. Hii ni tabia ya binadamu na Mwenyezi Mungu atamuadhibu yeyote anayeua binadamu wasio na hatia, hivyo ndivyo Koran inavyofundisha. Mwisho, ninawakaribisha msome Koran ili kuona ukweli. Tunaamini Mungu mmoja, hana mke wala mtoto, pia tunaamini kuwa Issa na Muhammad na mitume wengine wote waliletwa na Mwenyezi Mungu. Dini ni nzuri sana.
KHILLAFAH IS THE ONLY SOLUTION.
Nzuuuuuuuriiiiiii.
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, nyinyi Mashetani mnataka kuharibu haki ya dini ya Kiislamu na kueneza dini yenu lakini bila shaka hamjui kuwa Uislamu hautasita kwa sababu unalindwa na Mungu, Mwenye Uwezo.
Mungu, waonee huruma. Hawajui wanachokifanya. Natamani wangejuta sasa - Mungu anayetoa fursa ya pili atawasamehe au vinginevyo....Wafikirie mara mbili ikiwa kile wanachokifanya ni sahihi - kuua binadamu kama wao, tena wasio na hatia!!
Inasikitisha sana kwamba kuna Waislamu wa Somalia wanaofurahi na kusherehekea pale al-Shabaab wanapomwaga damu za watu wasio na hatia, wanawake waliokumbwa na umasikini na watoto wa Somalia. Kwa hakika, mnawezaje kufurahi kwa kuona maovu yakiwafika watu wenu, dada, kaka, mama, na baba zenu wenyewe kutoka kwa al-Shabaab kwa kisingizio cha dini? Mwenyezi Mungu anapenda kuona damu ya wasio na hatia ikimwagika? Mwenyezi Mungu mwenye upendo daima anafurahia machozi ya watu wa Somalia? Kuna watu wowote wanaweza kujiita Wasomali ikiwa watajidai katika kumwaga machozi na huzuni ya watu wao wenyewe? Na kwa Waislamu wa Somalia wanaosema wanawaunga mkono al-Shabaab na al-Qaeda wanaopigana na kupambana katika kuutawala ulimwengu wote, isingekuwa bora zaidi na heshima kwenu kupambana na kuushinda umasikini na ujinga unaowaharibu watu wenu wenyewe? Na, ikiwa mtu atajiuliza, mtawezaje kuutawala ulimwengu wote wakati wanawake na watoto wenu wanalala na njaa? Na nyinyi vijana wa Somalia ambao mnapotoshwa na wazee ili kuwaunga mkono al-Shabaab na kuharibu taifa lenu wenyewe, hamjui kuwa nyinyi ndio hatima ya Somalia? Muda wa Wazee umeshapita. Hatima yao iko nyuma yenu, na hatima yenu iko mbele yenu. Au nyinyi, vijana wa Somalia, bado mnamaliza miaka yenu kwa vurugu katika kuwaachana sidiria za wanawake wenu, wakati vijana wengine wa Afrika wanaongoza mataifa yao katika enzi za dijitali, kutengeneza programu za kisasa za kompyuta? Ikiwa mtasema ndio, aibu iwe juu yenu.
Ni zoezi zuri lakini ninalotaka kuwatahadharisha wale maofisa wanaowalaghai vijana huko Garissa kama inavyodaiwa na wakazi wa huko ili kujiunga nao. WAACHE MPANGO HUU MARA MOJA na kufanya shughuli zao kama inavyotakiwa. Kazi nzuri na tuko nyuma yenu kwa sala, askari endeleeni endeleeni endeleeni.....
BWANA MUNGU, WAPE AMANI
Hii makala imeandikwa na wasaliti tu (munaffiqin).
Al-Shabaab ni chanzo cha masahibu yote nchini Somalia, hata hivyo, katika baadhi ya maeneo waliyokuwa wanayadhibiti, amani ilitawala. Bila shaka Ukristo sio suluhisho kwa Somalia kama ambavyo baadhi ya watu wamependekeza, kwa sababu katika nchi zenye Wakristo wengi ghadhabu ya Mungu inakuja kwa njia za magonjwa ya kuua kama vile UKIMWI na unywaji pombe. Kwa kweli Uislamu mfumo bora zaidi wa maisha. Mungu akipenda, tunaomba siku moja mataifa yote haya ya Afrika yawe ya Kiislamu!!
Naamini mwisho wa mwisho wao umefika, naamini ni wakati wa Elshabab kuporomoka kwa Maslahi ya watu wa Ukanda huu, wametukera sana, wamekuwa wakiutia kinyaa Uislam wetu, wamekua wakijidai kuupigania kwa njia zenye najisi yakutisha, Hakika Haki Husimama na Haki hujipigania.
Mkenya yeyote atakayejulikana kama mwanachama wa al-Shabaab atakabiliana na matokeo yake badala ya kuisaidia Kenya kupambana na al-Shabaab nje ya Kenya na ulimwenguni pia. Ninaunga mkono usalama wetu wa Kenya na pia kuwaombea ili MUNGU daima awe upande wao.
ALSHAABAB NI MAJAMBAZI NA MASHETANI YANAYOPOTEZA ROHO ZA WATU WASIOKUWA NA HATIA.MUNGU AWATANGULIE MUWAANGAMIZE MAANA NINYI MNATETEA HAKI NA WAO WANADHULUMU WATU UHAI WAO- - -JONATHAN RWEYEMAMU - BUKOBA.Juni 15, 2012.
hiyo ni sawa kabisa
Tunatumaini kuwa majeshi yamefanya kazi nzuri...tutumie fursa ya mgawanyiko wao na tuwasafishe. ENDELEENI KDF, ENDELEENI...
Wasomali hawaheshimu maisha yao wenyewe. NINAWEZA KUSEMA HAWAHESHIMU HAKI ZA MAISHA, waacheni wapambane moto kwa moto.
Sisi (Wakenya) tutawashughulikia al-Shabaab mpaka kamanda wao wa mwisho amekatwa kicha hadharani.
Al-Shabaab wa Somalia wanapaswa kujishusha kadiri inavyowezekana na kutumia jina la Mungu kwa ulinzi wao na kudai kwao vita Vitakatifu kunaweza au hakuwezi kuwa sababu ya kupigana kufa na kupona. Nahisi wengi wa vijana hawa wanatumiwa tu na watu matajiri ili kujipatia pesa na kufa badala ya kufanya maisha yao yawe mazuri zaidi au kuwasaidia kwa mambo mema badala ya vita. AL-SHABAAB waende motoni na HAKUNA sababu ya wao kufanya kama wanyama KABISA wanaoishi msituni na kuwaombea watu wasio na hatia... Sijui lakini nina hisia kali kuwa watu hawa MATAJIRI wanaoegemea wavulana na wasichana hawa MASIKINI katika kikundi hiki wataadhabiwa na Mungu Mwenyewe na kamwe hawataona matunda ya peponi kama wanavyofikiria...Mungu nisamehe kwa ajili yao.
mie naomba mniwie radhi lakini nahisi kuna mafundisho flan kwenye quran hayakemei au yanachochea ukatili.maana makundi yote nnayoyajua dunian yanayoua watu kigaidi,mabomu ya kujilipua n.k yoote ni ya waislam, mfano mwingne ni hapo zanzibar tu,ubaguz mwanzo mwisho,choma makanisa ambayo wala hayawahusu! sasa huwa nashindwa kuelewa kwanini dini haikemei hilo na mbaya zaidi kuwa wanakiri kuwa wamefanya matukio hayo ya kuua watu. mimi nnachojua Mungu hajaturuhusu kuua hata uwe umekosewa vipi, hebu naomba waislam mliopo hapa mnielimishe ili niondokane na iman hasi niliyonayo kuhusu dini yenu especially kwa haya mambo ya fujo na kuua watu.
Sio sili Al-Shabab wanapaswa kujipanga waangalie mbinu nyingne ya kuchukua nchi!!!.....
Tumefurahi sana. Tuanze kuijenga upya Somalia na kuifanya iwe pahali palipostaarabika pa kuishi. Tuifanye Afrika pahali bora pa kuishi. Hongera ndugu zetu kwa kukubali yote...Waw.
ni western propaganda tu.chunguzeni SOMALIA NI UTATA MTUPU my comradees.
Amani ya Somalia maana yake ni amani ya Kenya. Ninaunga mkono Jeshi la ulinzi la Kenya katika juhudi zao za kuleta utulivu Somalia. Kenya pamoja na AMISOM lazima wawakomboe watu wa Somalia na kuwasaidia kuunda serikali halali. Waafrika ni lazima waungane na vikosi hivi na kufanyakazi pamoja ili kuleta amani katika nchi hii nzuri na tajiri. Mungu Ibariki Afrika.
Ni ndoto inayoelekea kuwa kweli lakini vikosi hivi vya serikali ni wabakaji na wezi wa mali za kila raia wa Somalia kwa hivyo kwa nini wao wawang'oe al-Shabaab - na Moha.
Hta Mungu hapendi kuona damu isiyo na hatia ikimwagika bure.
Binafsi nafikiri kuwa al-Shabaab daima hawajatambua uzuri wa kuishi katika taifa lenye amani. Somalia ni taifa lenye nguvu ambalo lingepaswa kuwa mwangaza wa Afrika ikiwa amani itaenea. Njia za Bahari Nyekundu/Bahari ya Hindi ni bandari muhimu katika bishara ya Afrika. Ninahuzunishwa na Wasomali wachache wanaoweza kuona mandhari ya umoja/amani, lakini nina hakika kwamba, ikiwa al-Shabaab watajisalimisha au la, siku moja amani itatawala.
Nyota iliyong'ara ya al-Shabaab sasa inazimika na ndio wakati wa kusema kwa sauti, "Inatosha" kwa matendo ya kinyama, kikatili na kishenzi ya al-Shabaab. Tunathamini sana jinsi nchi za Kiafrika kwa moyo safi zilivyoshiriki katika kurejesha amani na utulivu wa Somalia. Somalia itaziweka kumbukumbu za nchi hizi katika Makumbusho ya Taifa.
SOMALIA INAHITAJI HURUMA YA MUNGU. Kazi za Huruma: "Kuweni na huruma kama Baba yenu alivyo na Huruma" Sio tu kupokea huruma ya Mungu, lakini pia kuitumia kwa kuwa na huruma kwa wengine kupitia matendo yetu, maneno yetu na sala zetu; kwa maneno mengine, tunapaswa kutenda Kazi za Kimwili na Kiroho (kwa Matendo) ya huruma. “Bwana anatutaka tufanye kazi hizi za huruma, kwa sababu hata imani ya kweli haina maana bila matendo. Je, ni zipi kazi za Huruma? Kazi za Kimwili • Walishe wenye njaa • Mpe kinywaji mwenye kiu • Wavisheni wasio na nguo • Wapatieni makazi wasio na makazi • Wafarajini wafungwa • Temebeleeni wagonjwa •Kazi za Kiroho zilizokufa• Kufundisha wajinga• Waombee walio hai na wafu • Sahihisha wenye madhambi • Washauri wenye shaka • Wafariji wenye huzuni • Vumilia makosa kwa uvumilivu • Samehe makosa kwa hiari YESU KRISTO ATAIOKOA SOMALIA KARIBUNI KULIKO ILIVYOTARAJIWA. MAJESHI KUJISHUGHULISHA NA KAZI ZA HURUMA WAKATI WA KUTEKELEZA WAJIBU WAO WA KUSAIDIA WASOMALI WASIO NA HATIA.
ni nzuri sana
Hongera vikosi vyetu dhidi ya al-Shabaab. Wote hawa al-Shabaab, Boko Haram na Uamsho wa Zanzibar si lolote bali ni vyombo vya shetani vinavyotumia watu wabinafsi kabisa wenye akili finyu wanaochukia amani na kukumbatia fujo ambazo huwaangamiza binadamu. Mimi ni Mkristo lakini nimezaliwa katika asili ya Uislamu. Ninao jamaa wengi wazuri na marafiki ambao ni Waislamu lakini hawafanani na wapumbavu hawa wenye kiu ya damu wanaotumia dini ya Kiislamu kama fichio la matakwa yao ya kishenzi ya kuona damu inamwagika! Walaaniwe! Mungu yuko hai, ni mmoja na ni yeye pekee! Yeye ni mwenye huruma na pia mtenda haki. Kwa hivyo waonane na hatari wanayojijengea kwa mwisho wao. Wakumbukeni kaka zenu na sikieni kilio cha Afrika cha amani na popote ulimwenguni! AMANI!
Mungu awajaalie watu hawa wapate amani tu pale watakapoacha mashambulizi yao ya kinyama na kiuwoga.
kuanguka kwa kundi hili itakuwa ni mafanikio makubwa kwani itaepusha kwenye nchi zetu kuibuka kwa vikundi kama hivi kwa msaada wao.
KAZI NZURI AMISOM.
Somalia sasa inahitaji amani, utulivu na maendeleo, tumechoka na machafuko. Tunaiomba Marekani na washirika wake kuisaidia Somalia na Somaliland kiuchumi na sio kuwashinda al-Shabaab tu. Tunahitaji mipango ya kimikakati.
AL-SHABAAB WANAVUNJIKA KAMA CHUNGU KIKONGWE! WAENDE!!! UPUMBAVU WAO!
Mungu ajaalie amani itawale katika Pembe ya Afrika na HASA SOMALIA. Dan.
Hatimaye Mungu atawasikia watu wa Somalia, na kutakuwepo na amani nchini Somalia kama ilivyo kwa nchi nyingine.
Ninawapongeza wanajeshi wa AMISOM na Somalia kwa kazi waliyofanya, nafikiri juhudi zao zitawaokoa raia wa Somalia kutoka katika giza nene.
Al-Shabaab ni kikundi kizuri sana cha Kislamu ambacho kina maamuzi mazuri ambayo yanaweza kuwashinda maadui wa Uislamu katika Ulaya na Marekani.
Mmezaliwa ili kuabudu na sio kupigana.
JESHI LETU LINGEZIHARIBU KAMBI ZA SOMALIA ILI KUWAZUIA WASIINGIE NCHINI KWETU.
Chochote unachofanya katika dunia hii kiwe kizuri au kibaya, elewa na kujua kwamba baba aliye mbinguni atakuhukumu. Kwa hiyo al-Shabaab muogopeni muumba wenu ambaye ana uwezo, maana yeye anaweza kuwakata saa yoyote. Mai uliona amani huko alland, kuwa na roho ya upendo kwa watu wengine kama Mungu anavyoipenda dunia mpaka akamtoa mhanga mtoto wake aliyemzaa. Eleweni kuwa damu yote mnayomwaga hamtakufa bila ya kulipizwa kisasi.
KDF na AMISOM wamefanya kazi kubwa wanastahili wanastahili tuzo bora ["mcheza kwao hutuzwa"]. Tuwaombee wafanikiwe sehemu iliyobaki na sisi tusherehekee kuwa na nchi ya Somalia yenye amani katika Pembe ya Afrika. Iendeeni,iendeeni, iendeeni AMISOM na KDF
MIMI NI Mwislam kusema vita hivi ni vya imani ni upeo mdogo kabisa wa uelewa wa Uislam, inakuwaje muuwe maelfu ya waislam wenzenu!? na waumini wa dini nyingine wasio na hatia mmefanya maelfu ya raia wa somalia hasa wakinamama na watoto wakiteseka kwa njaa na magonjwa. Jihad haina maana vita dhidi ya wasio waislam tu ila maana halisi ya Jihad ni struggle ya kitu chochote kuanzia maisha ya kawaida, elimu na imani. na pale iliposemwa ukimuona kafir uuwe ni pale makafir walipopelekewa wito wa kuweka amani na kutoafiki ndipo allah akatoa amri maadui watakaoanzisha vita kati ya hao auwawe/wauwawe hii ikiwa na maana adui watakaoleta vita tu maana wale maadui waliokataa suluhu na wakaanzisha vita ndio amri hii ilikuwa inawahusu ndio maana quran inasema adui yako atapojisalimisha haitoshi peke yake kumuachia huru bali kumsindikiza hadi sehemu salama. Si kwamba hakuna jihad kwa ajili ya dini lakini ni pale tu dini ya mwenyezi Mungu inapopigwa vita. je hao wazee,akina mama na watoto kuna sababu kweli ya kuwatesa kiasi hicho km haitoshi kuuwa hata wale waliokubali kuchukua jukumu la kuwahifadhi hao waliokimbia kwa ajili ya vita vyenu visivyo na sababu ya msingi.mnawafuata na kuwauwa!!!? huu ni uwendawazimu ACHENI KUPOTOSHA UISLAM. ANGALIZO:-DINI YA UISLAM ISIHUKUMIWE KWA AJILI YA MATENDO YA MTU ILA TUANGALIE MANENO YA ALLAH(QURAN) YANASEMAJE
Al-shaabab kama kikundi chenye msimamo mkali kimekuwa kikiziyumbisha nchi jirani na zaidi imepanua nyoyo za kijambazi kwa nchi nyingine za Afrika. Sababu ni kwa nini wanafanya uhalifu usio na maana, lakini inaaminiwa kuwa wamejikita katika udini. Tumeshuhudia kwamba, migogoro ya kidini inachochea mvurugano na mapambano baina ya watu. Somalia licha ya kuwa ilitenganisha itikadi za kidini tayari hizi zimeshaenea katika mgogoro wa kijamii na kiuchumi ambapo wanaoteseka ni wanawake na watoto. Watu wa Somali wanapaswa kuelewa kuwa,kuwa katika vita kwa muda mrefu si ufumbuzi wa matatizo yao na pia si itikadi sahihi ya kuwahamasisha watu kujiunga na vikundi vyenye dhana na shughuli za mgawanyiko. Ninakaribisha jeshi la Afrika kwa ajili ya kuliondoa kundi hili, jambo ambalo litawawezesha watu WA Somali kusafisha njia kwa ajili ya familia zao na maendeleo ya taifa. "Mungu ibariki Afrika"
Nadhani al-Shabaab haikushindwa.
Yes.
Sidhani kuwa sasa ni wakati wa wao kulipa. Siku zao 40 zimemaliza. Amen.
kweli wanasomali ni wakati wa kuanzisha amani na amani itaanzia na wana al-shabaab wenyewe,,mwenyezi Mungu twaomba amani idumu.
Wakiungana watasimama, wakitengana wataanguka. Sasa ni rahisi kuwapiga vibaya!!!!!!!!
Kila ustaarabu ulimwenguni unakuwa na wakati wake lakini Uislamu haukuwahi kufa daima na karibuni utarejea.
Kwa ajili ya amani nchini Somalia na kutokana na mateso yaliyovumiliwa na watu wa Somalia, wakati umefika kwa al-Shabaab kuacha kupigana na kuungana na raia wanaopenda amani na kujenga nchi yao.
WATU WA SOMALIA MNAFIKIRI NI NANI ATAKAYEWATOA KATIKA MATATIZO MLIYO NAYO ZAIDI YA YEYE ALIYEWAUMBA. KAMA HAMTAKI MACHAFUKO MAANA YAKE MNATAKA AMANI SI NDIYO. SASA LAZIMA MUMJUE MUNGU WA AMANI NI NANI NDIYO MPATE HIYO AMANI. ATAKAMA SI WOTE BALI WACHACHE WAKIISHA MJUA BASI MUNGU WA AMANI, WATAKAPOOMBA TU NA KUOMBOLEZA MTAPONA.
IKIWA HAMPENDANI NYINYI KWA NYINYI WAPI MTAPATA AMANI? MUMGU AREJEE SOMALIA KWA SABABU YEYE ANAIJUA SOMALIA KULIKO NYINYI WENYEWE. HAKUNA ANAYEWEZA KULETA AMANI YA AINA YOYOTE ISIPOKUWA MUNGU, BWANA YESU; AMINI USIAMINI, UKWELI NDIO HUO.
Tunamuomba Mungu kuwalinda watu wa Somalia na kuifanya iwe nchi ya amani. Mungu atawale Somalia. Hongera AMISOM na KDF kwa kazi nzuri.
Haki, uaminifu, uzalendo, ni vitu muhimu sana. Utamaduni wa Wasomali mnajua nyote kuwa umefanya maisha kuwa magumu. Nchi nyingi zilikuwa na matatizo lakini zilisimama tofauti na ndugu zetu wa Somalia. Si kila mtu anaweza kuongoza. Hongera AMISOM.
Mungu, tunakushukuru na kila siku tunaomba kwako kwa majirani zetu wapendwa wa Somalia. Tunahisi mateso yao yanakaribia kuwa kitu kilichokwishapita. Mungu, chukua dhamana. Amen.
Wanafanya hivyo kwa sababu sasa wanahisi wanazidiwa nguvu na serikali na wanaoiunga mkono na vikosi vya washirika au ndio "kurudi nyuma kimbinu"? Damu isiyo na hatia ya Wasomali walioliwa na wanamgambo hawa inalilia haki. Lazima wakamatwe wajibu ukatili waliofanya dhidi wa wananchi wenzao na hasara waliyosababisha kwa uchumi wa Somalia. Nairobi, Kenya.
Mungu isaidie Somalia
Endeleeni majeshi ya al-Shabaab, lazima mpigane na adui anayetaka kuikandamiza dini ya Kiislamu hasa nchi za Ulaya Magharibi. Zinajaribu kueneza propaganda dhidi ya taifa la Kiislamu na Waislamu wote. Sisi kama Waislamu lazima tuungane ili kupigana na adui yetu. AL-SHABAAB, msirudi nyuma daima.
sikuzote ieleweke kwamba wenye tabia ya kuua na kunyanyasa wanatikana na shetani na ni mawakala wa shetani. yeyote asiye penda amani nyumayake kunamkono wa shetani, Mungu hapendezwi na kumwaga damu kamwe.watu hao wanaoua wasio na hatia hasa watoto, wanawake,wasiojiweza na wazee siwezi kuamini kwamba wanamtetea Mungu mwenye huruma na rehema bali shetani mwenyewe anayekunywa damu. wanakuja kwa jina la mungu ili wawarubuni wasijua kweli na kupambanua kweli na uongo. Mungu ni upendo shetani sikuzote ni muuaji na mwizi. Dunia nzima tupo kinyume na uasi huu kabisa. Ninyi wauaji wezi waongo mjisalimishe kwani wakati wa kuadhibiwa umefika/ cha kushangaza mungu mnaye mtegemea anaendelea kushindwa na kushindwa achaneni na mungu muuaji asiye watia nguvu. kama Mungu wa joshua ni feki huyo mtaisha. acheni vita isiyo na mafanikio.
Nilijua wakati utafika watashindwa kwa sababu walisimama upande wa giza na sisi tuko upande wa mwangaza. Waacheni waonje ladha ya maumivu ambayo waliwalazimisha wengine. Pongezi KDF na majeshi washirika kwa kazi nzuri mnayoifanya.
Kuvunjika kwa al-Shabaab na mwisho wake kutakuwa ndio mwanzo wa Somalia mpya. Hii ni habari nzuri kwa vile ujenzi mpya unaweza kufanywa tu ikiwa kutakuwa na amani na utulivu nchini. Hata wale watakaojisalimisha lazima wakamatwe kwa uhalifu wao dhidi ya binadamu.
Al-Shabaab sio watu, waacheni wasafishwe - Na NZAU JOSEPH -
Wakaribisheni katika serikali mpya lakini lazima wachaguliwe na watu wa Somalia..kuwaacha katika baridi kutavuruga amani iliyopo tayari Somalia pia wanaungwa mkono na sehemu ya umma na baadhi ya koo... Sameheni kwa amani kwa watu wa Somalia tunataka kufanya biashara mjini Mogadishu, Kismayu, Ras Kamboni, dhbly n.k.
Hongera AMISOM. Siku hizi nchi zinahitaji amani kwa ajili ya maendeleo na kutuliza uchumi kwa maendeleo ya taifa hasa katika nchi za dunia ya tatu kama vile Somalia. Kwa hivyo al-Shabaab lazima wasafishwe ili kutayarisha njia ya maendeleo ya kiuchumi nchini Somalia. Tuungane pamoja na kuomba mafanikio kwa vikosi vinavyoshiriki kuwang'a al-Shabaab kutoka Somalia. WOW.
Nafikiri majitu haya hayawadanganyi watu wetu. Kwa vyovyote vile, hongera mabaharia. Hatuwezi kufanya chochote kukiwa na ugaidi.
HAKUNA UMWAGAJI DAMU ZAIDI NCHINI SOMALIA NA NCHI NYINGIEN ZA AFRIKA. TUWEKE CHINI SILAHA NA KUJARIBU AMANI. AMANI NI SULUHISHO PEKEE KWA MAENDELEO KATIKA NCHI ZA AFRIKA. TUMESHUHUDIA VITA KATIKA NCHI ZA KIAFRIKA NA SIO SULUHISHO LA MATATIZO YANAYOZIKABILI NCHI ZETU.
Al-Shabaab watokomezwe kwa njia yoyote ile. Kusiwe na huruma hata kidogo.
Al-Shabaab waangamizwe kabisa.Twataka Somalia ikuwe na amani kama nchi jirani ndiposa sisi vile vile tufurahie amani imara.
Waacheni wauliwe. Shukurani kwa Kenya, wanastahiki kifo. WAUWAJI HAWANA NAFASI DUNIANI. ENDELEENI AMISOM NA KUWASUKUMIZA KATIKA BAHARI WASIONEKANE TENA. AMIN.
Raia wa Somalia wanapaswa kuweka bunduki chini, na kuanza kuijenga upya nchi yao, katika ufugaji ng'ombe na kilimo ili kulisha taifa lao badala ya kutegemea nchi nyingine. Kwa nini tunawapa silaha badala ya elimu! Unganeni tafadhali na mjenga nchi yenu.
Kuwaua wote kikatili ndio njia pekee ya kumaliza tatizo hili moja kwa moja. Ikiwa mtawachia nafasi ya kuwahurumia watatumia fursa hiyo kujikusanya upya, kujipanga kifedha na kusababisha ugaidi mara nyingine tena.
Tunaipenda Somalia lakini wanaonekana hawajipendi wenyewe. Wanahitaji kujifikiria wenyewe kama kundi sio kama watu binafsi na koo zao. Waache al-shabaab wamalizwe na wawe na serikali ya kitaifa ambayo itawatumikia Wasomali wote na Waislamu wote kwa jumla.
Somalia inahitaji amani ya kudumu, kwa vile amani yetu imefungamana na yao, kutokana na kufanana kwetu kupitia mipakani. Tufanye mchakato huu kuwa wa wote, lakini wale ambao waliuawa, kulemazwa, na kuharibiwa kwa sababu ya itikadi ya uongo, kwa vile Uislamu dini ya amani, lazima kwanza kubeba jukumu kabla ya kuingizwa kwao. Mungu awajalie Amani watu wa Somali.
Mpaka hivi leo sijaweza kufahamu al shababu ni watu wana fikira za aina gani. Kuwatesa wanawake na watoto ni jambo linalostahili kukabiliwa na moto usio kuwa na huruma. wacha na wao wawe kwenye risiving end.
Huyu ni Mohamed Keir husein [sudani]. Kwanza nimefurahi kuwa nchi yetu Somalia itakuwa na amani kwa sababu tumekuwa katika vita kwa muda mrefu, kwa hivyo ninataka kuhamasisha ndugu kaka na dada zangu wa Afrika kusaidia misheni hii, baada ya hapo tutakuwa na uwezo wa kuijenga upya nchi yetu. Asanteni, Sudani Nairobi Kenya.
Uamsho wa Zanzibar ni haohao Boko haram wa Nigeria, Al Qaida, kwa hiyo Watanzania tuwasafishe wanaharamu hawa!!!!! Serikali ya Zenj ilikuwa inacheka nao tangu 2001 kwani hata mmoja aliyewahi kufikishwa mahakamani miaka yote hiyo -- kuna viongozi serikalini wanahusika.
Habari hii sio sahihi na hao walioiandika, walikuwa hawajui kitu chochote.
ua wote mateka wa al shabab
Wapiganaji wa al-Shabaab wanaanguka, ninapendekeza kwa dhati na kusema "Wapeni nafasi watu wa somalia kujenga taifa lao, sahauni yaliyopita, jengeni hatima yenu".
Al-Shabaab wote waende kuzimu. Watu wameteseka sana mikononi mwao, wameitafsiri vibaya Quran na kuifanya dini ya Kiislamu kuwa ni dini ya kigaidi. Al-Qaeda na al-Shabaab ni waroho sana wa damu ya watu. Kwa kweli ninapenda kuwashukuru watu wa dini wa Ahlu Sunna waliowashinda na kuwaondoa katikati ya Somalia.
Ama wajisalimishe au wakabiliane na kifo. Afrika inahitaji kusonga mbele, wakati wa kuwavumilia magaidi ulipita siku nyingi zilizopita. Tumechoshwa na wahalifu hawa!!!!
Nina hamu ya kuiona nchi hii inarejea katika amani. Nilikuta Somalia katika machafuko na sasa kutimiza miaka 43 ya maisha, ikimaanisha miaka 22 baadaye, bado nchi ina matumaini kwa kushukuru vikosi vya shirikisho kutoka Afrika vyenye mpango wa kuokoa nchi hii na wananchi wake. Matapeli hawa wanaotumia dini kama sababu ya kupigana na kuwaadhibu watu wao, polepole wanaelekea mwisho na uhuru wao wa kweli wa kuabudu utarejeshwa. Mimi ni Mkristo na ninao marafiki wengi Waislamu ambao wanakubali kuwa kikundi kiovu kinatumia dini visivyo. Nina hamu kuona mwanamke wa kawaida na mtoto wana uhuru wa kujipatia chakula chao na sio kusubiri kugawiwa kama wanavyoelekezwa na wanamgambo hawa wajinga. Watoto wadogo wamekosa shule hasa wale wa familia masikini na ambao wamepitia katika nyakati za kutisha mikononi mwa al-Shabaab, wakati watoto wenye fursa zao wanapiga mbio muda mrefu wakiwa na maisha mazuri, lakini je kuhusu wale ambao hawakuwahi kuihama nchi yao na kuingia katika jahanamu ya wanamgambo? Ninamuomba Mungu aiongoze nchi hii na mambo mazuri yatokee na itashinda.
Watu wa Somalia wanastahiki amani ya kudumu. Kila siku tunaomba kuwepo na amani. Hakuna anayestahiki kufa kwa njaa na vita katika siku na enzi hizi...Tunawasifu AMISOM na KDF kwa ujasiri wao wa kuwakomboa Wasomali kutoka kwa wakandamizaji..."Nilikuwa gerezani na wewe ulinitembelea"...Bwana Mungu wetu na anayewakomboa watu, Yesu, aiokoe Somalia kwa damu yake mwenyewe...Joan Kericho Kenya.
WAKATI WA MUNGU UKIFIKA HAKUNA ANAEWEZA KUZUIA.UMEFIKA WAKATI WA SOMALIA KUSIMAMA.
Wakati umefika kwa al-Shabaab kuacha kusababisha maafa miongoni mwa watu wasio na hatia na kujisalimisha kwa serikali au vinginevyo wakabiliane na utamu wa risasi wakati sisi tunacheza ngoma uwanjani.
Wasomali ni watu walioumbwa na Mwenyezi Mungu na ni yeye pekee anayeweza kuwaongoza. Nyinyi mnaosema kuwa Somalia itakuwa chini ya utawala wa Quran, wanafikiri kitabu kinaweza kumuongoza mtu? nafikiri hata katika kitabu hicho kitakuwa kinasema kitu kama wapendane, sasa kukatisha maisha ya mtu ni upendo? Inamaanisha hupendi maisha kwa hivyo hata Mwenyezi Mungu hatakujalia uhai kwa kutokuthamini maisha ya wengine.
KARIBUNI SOMALIA ITAKUWA TAIFA LENYE AMANI NA KIUCHUMI TUTASHINDANA NA NCHI ZA EURO, na tutawaajiri wahitimu wa Kenya ambao hawana kazi. Kwa hivyo tafadhalini tuombeeni.
Ninapenda kile ambacho AMISOM wanafanya...endeleeni. Ilindeni Somalia na ulimwengu wote.
Tunatumai kuwa mara hii Somalia itatulia mara moja na vizuri sana.
Al-Shabaab...!!! Wote lazima WAULIWE kwa sababu ya hali ya vurugu na mbaya waliyoisababisha. Ikiwa hawajali maisha ya binadamu,na nyinyi msiwajali...!!! Wasafisheni katika dunia hii.
hayo ni maneno ya vyombo vya habari tu kwani mapambano bado yataendelea somalia mpaka basi kwa sababu vita vya imani sio rahisi kumalizika kama tunavyofikilia suala ni kukaa na kuangalia chanzo ni nini na kutatua kwa amani na si kwa mtutu kwani hata mm nipo tayari kupoteza maisha ktk jihadi.hongera al shabaab kupigana jihadi dhidi ya makafiri kwani mnapigania dini ya ALLAH hivyo malipo yake yapo kwa MWENYEZIMUNGU.
Hatupaswi kuziona hazifai juhudi zozote zilizofanywa na serikali au watu mmojo mmoja (katika kutoa habari muhimu itakayopelekea kukamtwa kwa al-Shabaab). Tuungane na kukumbatia amani ili kujenga mazingira ya kirafiki nchini Somalia. Kila mtu anastahiki mazingira ya amani na ya kirafiki. Tupambane katika kupigania haki za binadamu ambazo zimekiukwa na vikundi hivi. Amani iwe juu yenu nyote.
Al-Shabaab kama walivyo al-Qaeda hawana uhalali kwa jumuiya ya Waislamu. Kwa kweli vitendo vyao vinapingana na kitabu kitukufu cha Quran. Ikiwa Wasomali wanataka taifa la Kiislamu, kwa nini hawawasiliani na Jamhuri ya Saudi Arabia. Wananchi wa Somalia wanastahiki nchi yenye amani na sio nchi iliyochanika chanika. Wakati umefika kwa raia wote mashujaa na wenye akili wa Somalia kurudi na kulirejesha taifa lao kubwa, ili kuhakikisha kuwa vikundi vidogo vya kijinga vinatokomezwa moja kwa moja.
KAZI NZURI SANA AMISOM, ENDELEENI.
Al-Shabaab wanapaswa kutokomezwa na kungolewa katika uso wa dunia kama kikundi kingine chochote kikatili dhidi ya jamii. Kuwasamehe maana yake ni kuwapa nafasi ya kujiandaa kwa umwagaji damu na usio na kikomo.
Tupo katika karne ya 21 ambapo wauaji wanaoua watu wasio na hatia hawana shughuli yoyote katika dunia hii labda huko kuzimu. Napenda kutetea na kusaidia kuuliwa na kumalizwa kwao haraka inavyowezekana. Hakuna nafasi ya kuonewa huruma au kuwa na mazungumzo na mashetani hawa washenzi. Wasipewe nafasi hata ya kupumua.
Watu hawa wangeweka bunduki zao chini na kujenga taifa lao.
Matakwa ya amani kwa Somaliland yanaonekakana kukaribia. Waacheni waipatepate! Tusiruhusu damu zaidi kumwagika katika ardhi hii. Ndugu zangu ikaribisheni amani hii na mjenge taifa lenu ili ustawi upatikane. HAPANA UMWAGAJI DAMU ZAIDI!
Endeleeni na kazi nzuri. Tuunganishe juhudi zetu katika kuijenga upya Somalia.
MWENYEZI MUNGU WAJAALIE AL-SHABAAB KUSHINDA VITA DHIDI YA MAADUI WAO
Hongera KDF yetu na AMISOM. Kitu cha mwisho ambacho SITAKI KUKISIKIA ni majina ya hawa MABWANA WA VITA ambao wametoa muhanga damu isiyo na hatia kwa muda mrefu...kwamba wanapanga kujibadili na kujiunga na serikali ya Somalia ni utani mkubwa." Kitu hiki hakipaswi kuruhusiwa daima... hata shetani moto hawezi kuwasamehe baada ya yale waliyofanya. Watu hawa ni hatari kwa jamii, wamefanya uhalifu usiofikirika dhidi ya binadamu, hawana nyoyo, hawana hisia, hawana akili...hawana chochote!...mbwa wa vita!!...Kama alivyokuwa bwana wao Osama bin Laden,- wazungukeni na wazikeni chini ya bahari ya hindi ili wanadamu wafute kumbukumbu zao na wajaribu kusahau maisha yao yaliyolaaniwa na dhambi walizotenda duniani.
Katika kila nchi ya Afrika, kuna kitu kinatishia kuichanachana nchi. Botswana ambayo inajigamba kwa kutoweza kufanyiwa ufisadi imekubwa na tatizo la UKIMWI. Waafrika Magharibi wanakabiliwa na mapinduzi na maasi ya kijeshi. Hakika Wanigeria waliuelezea uchaguzi wa Kenya wa mwaka 2002 kuwa ni 'mapinduzi ya kiraia’. Badala ya kujihusisha na Somalia, ni nchi nyingine gani za Afrika zinaweza kuondoa 'boriti kutoka machoni mwao' na sio kuondoa kibanzi kilichoko Somalia. Hatma ya Somalia inategemea sana juu ya wananchi wake wanaoishi nje wanakoishi kama wakimbizi katika makambi au wahamiaji wanaofahamika. Kama nchi zote za Afrika zingefagia nyumbani kwao, Wasomali wenyewe moja kwa moja wangekuwa na amani kwa hofu ya kuwa taifa pekee lililoshindwa katika Afrika.
alshaabab wasikate tamaa makundi yao wasiogope waanini kile wanacho amini ni sawa kwao watashinda sioni sababu ya kuwachukia na kuwapiga.wapeni uhuru na kuwasikiliza
Hawawezi kusema wanapigana kwa sababu ya dini huku wanawafanya watu wengi wa Somalia wasio na hatia wanaotafuta amani katika nchi jirani washutumiwe na kusakwa na FBI na wengineo…kwa hakika watateseka siku ya hukumu.
MUNGUA AJALIE AMANI NA HAKI ITAPAKAE SOMALIA!!-Dickson-Mombasa
Wale watakaosalimisha silaha zao wangesamehewa.
Makala hii inatoa msukumo na kutia moyo kwa sababu tunachotaka kuona nchini Somalia ni amani, maendeleo, elimu na ustawi kwa wote. Wale wanaoapigana waweke chini silaha zao na kutumia nguvu zao kwa kuleta matumaini. Vile vile matatizo ya Somalia yatamalizika hivi karibuni ingawa baadhi ya maoni yanaonekana kama ni ya akina Sadam Hussein na Osama Bin Laden, nakusudia haya ni mazungumzo ya watu wanaokabiliwa na kushindwa.
Alshabaab siku zote wamekuwa na mgawanyiko lakini hawawezi kujadili kwa uwazi au kuruhusu kikundi chochote kujadili masuala kama wanavyosema katika makala yako. Alshabab / Al-Qaeda kamwe hawaruhusu mkutano wowote katika maeneo wanayoyadhibiti, yeyote ikiwa ni pamoja na wanachama AS wasiofurahishwa. Kuna kundi la mauaji la Amniyaad ambalo linaua mtu yeyote anayejaribu kufanya mkutano kama huo
Wanastahiki. Watu wanateseka katika mikono yao. Heshima kwa majeshi na serikali ambazo zimejitolea sana. Asante kwa KDF kwa kazi yao kubwa sana. Mungu awabariki.
Al-Shaab karibu watakuwa kesi iliyomalizika. Pengine haya tunayoyashuhudia ni mateke ya mwisho tu ya farasi anayekata roho.
Walipaswa wawe wameshaoondoka tangu jana.
Nzuri sana. Wengi walidhani kuwa hilo lisingetokea. Sio Somalia. Sasa yamekuwa na yatatokea. Tunaweza kuona Somalia inatabasamu tena na kuanza harakati.
Al-Shabaab wanapaswa kuwataka samahani watu wa Somalia. Wameshaua Wasomali wengi. Wakati umefika kuachana na vita kwa nchi mpya ya Somalia na kwa amani.
KAMA KAWAIDA, HAKUNA MBADALA WA USHINDI KATIKA VITA VYOYVYOTE. ENDELEENI BILA YA WOGA. UHURU UNAKUJA KWA WATOTO WA MUNGU NCHINI SOMALIA.
Katika nchi yoyote ulimwenguni, AMANI ni muhimu sana. Hakuna maendeleo yanayoweza kupatikana ndani ya vita. Tunaomba ndugu zetu wa Somalia kukumbatia amani kwa ajili ya kesho. Historia itawashitaki kwa nguvu sana, watakuwa dhamana wa ukatili walioufanya. Dunia ikae pamoja na kulisaidia taifa hili. Tunasifu juhudi za AMISOM, KDF na serikali ya mpito ya Somalia. Tuko pamoja katika sala na maombi na USHINDI utakuja karibuni.
Al-Shabaab itakuwepo milele, Mungu akipenda.
Hakuna yeyote au kikundi chochote ulimwenguni kote kinachopaswa kufikiria kuwa wao hawatakufa kiasi cha kumaliza maisha ya wengine. Binadamu wote ni sawa mbele ya Mungu. Yeyote anayeua kwa upanga naye mauti yatamfika kwa upanga. Kila maisha ni matakatifu na mbali na matokeo ambayo mtu hukumbana nayo duniani kwa uhalifu wake, wakati wa kufufuliwa atahukumiwa. Viongozi walioko nyuma ya al-Shabaab na vikundi vyingine vya kihalifu vinavyoinukia vingejifunza kutoka kwa magenge mengine yaliyopita ambayo maisha yao yaliharibiwa bila ya kuacha uhalali au historia. Damu nyingi isiyo na hatia imeshamwaga na maisha yao kuharibiwa kwa kuachwa vilema, wanaotangatanga, mayatima, wajane wake kwa waume, wakimbizi na kutokuwa na makazi. Machozi ya watu hawa hayatapotea bila ya kuonekana na bila ya kuwepo mtu wa kuwajibika. Hakuna mazungumzo yatakayofanyika pamoja na magenge haya ambayo yanastahiki kupigwa risasi, hakuna hili wala lile, hakuna ICC. Wamewasababishia Wakenya mateso yasiyoelezeka na kutokuwa na uhakika bila ya sababu. Sang Richard - Nairobi Kenya.
Ninaiunga mkono kwa dhati serikali ya Kenya kwa kupiga hatua kubwa sana katika kuwapiga al-Shabaab ili kuleta amani, upendo, umoja na maelewano nchini Somalia. MUNGU alijaalie nguvu jeshi la Kenya kwa kukikomesha kikundi hiki haramu, kisicho cha kibinadamu na kinachosababisha ukatili.
Kweli kila mtu lazima asiamini kwamba al Shabaab watamalizwa kwa sababu udongo haujaisha. Jibu sio watakuwepo milele mara tu wakishaidhibiti dunia iwe sasa au baadae wataifanya dunia kuwa chini ya sheria ya Uislamu.
Biblia inasema kwamba wale ambao huua kwa upanga lazima pia watakufa kwa upanga huo huo, lakini tena Yesu alikufa kwa ajili yetu, akatusamehe madhambi yetu sisi ambao hatuwasamehi wengine, lakini kama wataahidi kubadilika, nadhani wanapaswa kuswekwa jela, kwa sababu sisi kamwe hatuwezi kujua ajenda yao badala ya kuwaua. Mungu awabariki-linette abuko Rongai.
Wanastahiki kile wanachopata kwa sababu kwa kweli watu waliteseka sana mikononi mwao.
Karibuni sana jeshi la wauaji litakuwa limemalizwa. Marekani inapaswa kuweka picha za viongozi wauwaji wa Al Shabaab kwenye mtandao. Baadhi yao wanaweza kukwea usalama wa mipaka yetu ya usalama na kuingia nchini kwetu. Sisi tunataka kuwawinda wakati wa jua na mvua.
Wakati umefika kwa ajili ya mabadiliko makubwa kwa ustawi wa watu wa Somalia. Hatua ya busara kufanya kwa wapiganaji wa al-Shabab ni kujisalimisha, kuomba msamaha kutoka kwa watu wa Somalia na kujiunga nao ili kuijenga upya nchi yao.
Ninaitakia kila la kheri nchi jirani yetu ya Somalia na kuingilia kati kwa Mwenyezi mungu. Amani iwe juu yao.
Jeshi la Ulinzi la Kenya linapaswa kujiandaa kuwafutilia mbali al-Shaabab kutoka Kismayo na kuwapeleka kuzimu.
Waingie motoni isipokuwa wale ambao husema mambo mazuri kuhusu mujahidina. Ninaapa kwa Mwenyezi Mungu nchi hii itatawaliwa na Quran tu. Sisi kama Wasomali kamwe hatutawaruhusu maadui wa Mwenyezi Mungu kututawala. Tulipigana na Waingereza, Waitaliano na Marekani: Tunamshukuru Mungu kuwa tuliibuka washindi dhidi yao. siamini kusema "historia itajirudia yenyewe," kwa hivyo waelewe kuwa Magharibi inakuwa ndio kimbilio, wanafikiri wanaweza kutuangamiza na hadi jana walipokuwa matajiri hawakuweza. Jibu ni kuwa HAPANA.
Hakuna nafasi kwa ajili ya majambazi katika ulimwengu wa sasa. Wasomali wameteseka vya kutosha na wakati umefika wa kuchagua amani kamili. Mungu ibariki Somalia na jumuiya ya Wasomali wakati sasa wanakaribia enzi mpya.
Waache mikutano hiyo na wajisalimishe kwa TFG na AMISOM. Wao walinawirisha machafuko, nani anaweza kuwaamini? Hakuna mazungumzo. Mimi sitetei uuaji lakini lazima wakakabiliane na The Hague. Hawa ni wagombea na wateja hasa wa Ocampo. Dunia nzima ielewe kuwa hakuna nafasi kwa ajili ya ugaidi.
Hivi ndivyo ambavyo Mungu amefanya. Laiti tungeweze kuungana na kuomba kama ambavyo tumekuwa tukifanya tangu vita hivi kuanza, kwa hakika vitu vingi vya muhimu vingetujia. Maandiko 2 – 7:14. Ikiwa watu wangu wanaoitwa kwa jina langu, watakuwa wanyenyekevu na kusali na kuutafuta uso wangu na kurejea kutoka matendo yao maovu, nitawasikia kutoka mbinguni na kuwasamehe dhambi zao na nitaiponya ardhi yao. WAKENYA TUPIGE MAGOTI NA KUOMBA KWA AJILI YA TAIFA LETU NA SOMALIA
Habaris zingine ,Uzushi mtupu!! Yote hiyo niproperganda al shabaab ni vijana wa kiislam na hoa vijana hawatakosekana mpaka kitakapo simama Kiyama ,Achen uzushi namagazeti yeni ya mfumo wa kikanisa . Ak a oroond
Kweli linalofanyika hivi sasa ni la muhimu kwa ulimwengu wa sasa ambao unataka binadamu asiishi ktk hali ya mashaka na vita visivyo na maana .Hasa ukizingatia kwamba wanaokufa ni watu wasio na hatia.NAPENDA
Misheni ya Afrika nchini somalia imelazimisha maumivu mkiani mwa zimwi. Wafanyeni walie sana.
NI MOJA YA SHUKRAN KWA KUWA AMANI NI KITU CHA HERI PIA MACHAFUKO SIO MAZURI JAMANI .
Al-Shabaab ni kikundi cha kigaidi na hawapaswi kuonewa huruma hata kama watajisalimisha…ikiwa watapewa nafasi watajikusanya tena na kurejea miaka ijayo. Lazima wasafishwe moja kwa moja. Asante Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF), AMISOM na jeshi la Somalia.
Tunataka jirani yetu Somalia iwe na Serikali imara. Kila mtu duniani ana hamu ya kuona Pembe yetu ya Afrika inarejea katika utukufu wake wa zamani. Al-Shabaab, kwa unyenyekevu jisalimisheni, wakati wako umefika.
WAUAJI HAWANA NAFASI DUNIANI. ENDELEENI AMISOM NA WASUKUMENI KATIKA BAHARI KUU.
Viumbe hawa wenye madhara lazima kukomeshwa haraka iwezekanavyo. "Nitafurahi kuona urejeshwaji wa amani huko Somalia".
Waafrika wote na dunia kwa jumla tuisaidie Somalia ili irejee katika hali ya kawaida. Huu utakuwa ni mchakato wa muda mrefu kwa sababu ushindi wa kijeshi peke yake sio mwisho wenyewe. Juhudi za kisiasa, kiuchumi na kijamii lazima ziwepo kiutaratibu ili kuwawezesha watu wa Somalia kufikia ndoto zao za amani na ustawi.
Sifikiri kama kuna maneno ya kutosha ya kusema kuhusu wao?. Al-Shaabab wanapaswa kujua kwamba, Mungu (Mwenyezi Mungu) haiui vile alivyoviumba, na Mungu (Mwenyezi Mungu) ni upendo, binadamu kufanya hivyo (chuki, tamaa ya mali nk), kwa sababu ya wivu, chuki na wivu. Sisi sote tunauabudu Mungu mmoja. Isipokuwa tu kama sikubatizwa kwa jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, basi sitauona ufalme wa Mungu, bila ya kujali jinsi gani tunamwabudu Mungu. Amani iwe na nyie nyote.
Hii ni makala poa sana na ninafurahi kwa ajili ya maendeleo ya askari wa Somalia na AMISOM kuwafukuza na kuwatawanya wanamgambo wenye msimamo mkali ambao wanatumia damu ya watu wa Somalia wasio na hatia ... Waacheni fisi wa al-Shabaab wasafishwe kutoka nchi kavu wa Somalia na kuwaruhusu watu wa Somalia kupata amani na uhuru kutokana na vibaraka na wadoezi.
Hii imekaa vizuri kwa watu wa Somalia, Mungu alipe jeshi la ukombozi nguvu za kuwafuta al-Shabaab!
Nzuri sana, fikeni Kismayu na msijaribu kumwunganisha al-Shabaab yoyote kwani inaweza kuwa hila zao za kuleta umwagaji damu mwengine.
Haki na ukweli daima hushinda juu ya maovu na uongo unaofanywa na upotofu wa siasa kali. Stevo Njogu - Nairobi
Hongera kwa askari ya Somalia.
Naomba wote waweke chini silaha zao na kujisalimisha; wanapigana kumfurahisha shetani na sio Mungu .. gp kutoka Moyale.
Inatoa mwangaza sana.
Al-shabaab wanastahiki kusafishwa kutoka uso wa dunia
Chawanyikeni kama Jahanamu.
Waacheni watu wenye msimamo mkali wakabiliane na bunduki ile ile wanayoiamini. Lazima wakabiliane na sheria. Hiyo ndio njia pekee ambao wao na wengine wenye akili kama zao watajifunza.
MUNGU AUJALIE USO MTAKATIFU WA YESU, DAMU YAKE TAKATIFU YA YESU, ROHO MTAKATIFU NA WEMA WA MAMA YETU MTAKATIFU WA MUNGU…MARIA MLINZI WA WANAOTESEKA ASHUSHE KATIKA NCHI HII YA SOMALIA ALETE AMANI NA UOKOVU WA KWELI. Mungu mtakatifu, Mtakatifu mwenye uwezo, mtakatifu usiyekufa kuwa na huruma na sisi na udhibiti maisha ya watoto wa Somalia wanaoteseka.
Kuna makundi mawili miongoni mwa wanaharakati: la kwanza linawakilisha "mrengo wa msimamo mkali", ambalo linadhibitiwa na wageni na wanaharakati wa viongozi wakuu wa Somalia chini ya uongozi wa Abu Zubeir "Godane" na wageni. Kundi hili linakwenda kwa jina la "Mulat Ibrahim," jina lililochukuliwa kutoka Quran. "Ufuate mila za Ibrahim mkweli katika imani, na ambaye hakuunganisha miungu na Mungu." Kundi la pili lisilo na msimamo mkali sana liko chini ya uongozi wa Mukhtar Robow Abu Mansour. Kundi hili linaamini katika kulifanya kundi lao la wanaharakati liwe linatokana na Wasomali wenyewe kwa kupunguza nafasi za wageni katika kufanya maamuzi. Kulingana na baadhi ya vyanzo vya karibu na wanaharakati, mgogoro kati ya makundi haya mawili ni mkubwa kiasi kwamba unaweza kufikia kiwango kibaya sana. Kutokuelewana miongoni mwa viongozi wa makundi mawili kunahusiana na hali ya vita dhidi ya askari wa serikali ya Somalia na AMISOM, yaani Misheni ya Umoja wa Afrika nchini Somalia. Pia kuna msuguano wa kina kiitikadi na kisiasa kuhusiana na hali ya Somalia, pamoja na uhusiano kati ya wapiganaji wenyeji na wa kigeni, hawa wa mwisho ambao walianza kuchukua udhibiti wa utoaji wa maamuzi ndani ya harakati, kulingana na waangalizi wa Somalia. Napenda al-Shabaab wasambaratike kabisa kwa sababu wametenda ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya jumuiya ya Somalia. Kikundi cha kigaidi cha al-Shabaab kinasambaratika kwa kiwango cha kasi kwa sababu jamii imegeuka dhidi yao kwa ajili ya mauaji ya wanachama wa jumuiya, kati yao wakiwemo wanafunzi, wataalamu na wakuu wa kidini wa Somalia.
Poa kabisa
WAKATI UMEFIKA KWA WASOMALIA KUANZA KUFIKIRI KAMA RAIA WA JUMUIYA KUBWA YA AFRIKA MASHARIKI NA HAPA, AMANI NI AMRI!
makala imeleta habari ambayo ni faraja kwa wapenda amani wote duniani, nifaraja kwa Afrika kwa ujumla kwani ni tamanio la kila mwafrika kuona bara letu la Afrika ni mahali pa zuri na salama kwa kuishi
napenda ila nasikitika kifo cha osama bin laden
kongole majeshi amison. Somalia lazima itakuwa huru na iendelee kama mataifa mengine. Umwagaikaji wa damu isiyokuwa na hatia lazima utakomezwa. Eko wanajeshi. Songeni mbele kabisa.
Ninapenda jinsi AMISOM inavyosonga mbele. Wachueni ngozi na muwaachie TAI! Mozilla, tafadhali lete zidi.
Wale wanaojitokeza na kuomba msamaha wasiuliwe. Badala yake, wakamatwe na kuwekwa kama wafungwa wa vita, watambueni, wasimamieni na muwape kazi za kukarabati na kujenga upya kile walichoharibu na wafundisheni kuwa Wasomali waliostaarabika. Wanatakiwa wakae jela angalau miaka 15 kwa vile hakuna mtu atakayeweza kukaa na watu wa namna hii ambao hawakurekebishika.
HII INATIA MOYO SANA. ENDELEENI NA NIA NJEMA NA WASAFISHENI MASHETANI KUTOKA SOMALIA – Mutuku ben – Thika Kenya.